Habari kuu ya teknolojia wiki hii ni le ya muungano wa ulaya
uliolalamika kwamba Kampuni ya Google ilikuwa ikijipendelea zaidi
katika soko lake.
Google sasa ina wiki kumi kujibu malalamishi hayo
licha ya kusema kuwa haikubaliani na madai hayo na kwamba iikuwa
ikijiandaa kujitetea.
Wednesday, 22 April 2015
Google yapewa wiki 10 kujibu malalamishi
Related Posts:
TARIME WALAANI MAUWAJI YA ALBINO. WAITAKA SERIKALI KUOMBA HIFADHI NJE YA NCHI ILI KUWANUSURU ALBINO. Wakazi wa Tarime mkoani Mara wamelaani vikali mauaji yanayofanyika dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi na kuyaita ya kinyama na ya makusudi. Hayo yamefanyika kupitia jukwaa huru la wanatarime ambalo msingi mkuu wa malen… Read More
Dawa mpya ya kupaka ili kuzuia HIV yabainika haifai kwa matumizi. Dawa iliokisiwa kupunguza uwezekano wa mwanamke kupata virusi vya HIV wakati wa tendo la ngono haifai,kulingana na utafiti mkubwa uliofanywa na shirika la Follow on Africa Consortium for Tenofovir kutoka Afrika kusini. M… Read More
Mtoto wa miaka 10 ajiunga na Chuo Kikuu kusomea Hesabu She's a big fan of Disney's Frozen, and loves playing with her dolls. But Esther Okade is also a university undergraduate after starting a degree at the age of ten. Est… Read More
Huu ndio utafiti kuhusiana na simu za Android. Simu za kisasa zinazotumia mfumo wa Android zinaweza kufuatiliwa kwa urahisi sana. Uchnguzi umebaini kuwa simu zinazotumia mfumo huo zinaweza kufuatiliwa kwa urahisi mno pasi na kutumia kifaa cha GPS yake. Aidha simu hizo z… Read More
Huu ndiyo utafiti wa wanasansi kuhusiana na uaminifu wa wanaume kulingana na vidole vyao. Wanasayansi wamegundua kwamba wanaume walio wakarimu na wanaowasikiza wake zao kidole chao cha nne ni kirefu ikilinganishwa na kidole chao cha pili. Je, unakubaliana na utafiti huu uliofanywa na wanasayansi katika chuo … Read More
0 comments:
Post a Comment