Mshambuliaji wa Manchester City Sergio Aguero amesisitiza kuwa
bado wanaweza kushinda Ligi Kuu ya England, licha ya kuwa pointi
tisa nyuma ya Chelsea wanaoongoza ligi.
"Bila shaka bado tunaweza kushinda," amesema Aguero akizungumza
na gazeti la Manchester Evening News.
"Katika soka, chochote kinaweza kutokea"
Saturday, 11 April 2015
AGUERO-BADO TUNAWEZA KUSHINDA LIGI.
Related Posts:
Wachezaji 7 wa Costa Rica hawakutumia dawa za kuongeza nguvu kwenye mechi dhidi ya Italia Wachezaji 7 wa Costa Rica hawakutumia dawa za kuongeza nguvu mwilini Wachezaji saba wa Costa Rica waliolazimishwa na maafisa wa FIFA kupimwa mkojo pun… Read More
Luis Suarez amuomba radhi Chiellini Katika taarifa yake kwenye twitter amesema hivi: Baada ya siku kadhaa za kuwa nyumbani na familia yangu, nimekuwa na muda wa kutulia na kutafakari kuhusu hasa kilichotokea wakati wa mchezo kati ya Italy … Read More
Wafahamu mastaa mbalimbali kutoka Afrika wanaotesa barani Ulaya na kwenye kombe la dunia Ben Arfa (Tunisia) - FrancePaul Pogba (Guinea) - France Karim Benzema (Algeria) - France Samir Nasri (Algeria) - France Govou (Benin) - FranceZinedine Zidane (Algeria) -France L… Read More
Giggs:Sikuwa tayari kuwa kocha Aliyekuwa kaimu kocha na Mchezaji wa Manchester United Ryan Giggs amekiri kuwa hakuwa tayari kwa majukumu ya kazi kama kocha wa klabu hiyo ya Uingereza. Giggs anasema kuwa uteuzi huo ulikuwa mapema kuliko alivyota… Read More
Rais wa Uruguay awatukana maafisa wa FIFA Rais Jose Mujica amesema maafisa wa FIFA wamuadhibu Suarez kwa unyonge wake Rais wa Uruguay Jose Mujica amewatukana maafisa wa FIFA kwa k… Read More
0 comments:
Post a Comment