Facebook

Friday 10 April 2015

MGOMO WA MADEREVA WAMALIZWA SALAMA DSM

Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudencia Kabaka amefanikiwa
kumaliza mgomo wa madereva baada ya kutangaza kufuta agizo
lililokuwa likiwataka madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma
tena katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
Kuhusu suala la Madereva kusoma, Serikali na Madereva
wamekubaliana kukutana mwezi huu tarehe 18 kuzungumza njia
mbadala

0 comments:

Post a Comment