Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudencia Kabaka amefanikiwa
kumaliza mgomo wa madereva baada ya kutangaza kufuta agizo
lililokuwa likiwataka madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma
tena katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
Kuhusu suala la Madereva kusoma, Serikali na Madereva
wamekubaliana kukutana mwezi huu tarehe 18 kuzungumza njia
mbadala
Friday, 10 April 2015
MGOMO WA MADEREVA WAMALIZWA SALAMA DSM
Related Posts:
Mwigulu Nchemba aamrishwa kuvua Skafu mara moja ndani ya ukumbi wa Bunge Mwigulu Nchemba ni mpenda sifa sana.Anadhani kila mwananchi anaipenda skafu yake na hivyo kumuonyesha kuwa mbunifu na wa kipekee. Awe anaheshimu mahali anapokuwa kama Bungeni, Mahakamani,kanisani na kwingineko… Read More
BREAKING NEWS:Mwanafunzi Chuo kikuu cha DSM afariki akiwa katika Usingizi mzito Kwa habari zilizotufikia hivi punde kutoka Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam ni kwamba mwanafunzi wa Chuo hicho ambaye ni binti mdogo sana anaeitwa HAPPY SEKABENGA,aliyekuwa anasoma degree ya BCOM in ACCOUNTING mwak… Read More
Muongozaji wa Filamu Nchini, George Tayson afariki dunia..... Muongozaji wa Filamu Nchini Tanzania George Tyson,afariki dunia kwa ajali mbaya.Director huyo Mwenye Asili ya Kenya anaye fanyia shughuli zake nchini Tanzania amejizolea Umaarufu Mkubwa nchiniTanzania kwa Kuongoza baadhi ya… Read More
Wabunge wa upinzani watoka bungeni baada ya CCM kuilinda Wizara ya Nishati na Madini Jioni hii katika bunge la Bajeti Mweshimiwa Mbowe ameongoza kambi ya Upinzani kutoka Bungeni kwa kila anachodai wabunge wa CCM wanajaribu kuficha uovu wa Wizara ya Nishati na Madini na Kujadili mazuri tu kuhusu … Read More
'Sugu' Amlipua Zitto Kabwe Ni katika Hotuba yake ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ya Wizara ya Habari,Utamaduni na Michezo aliyoiwasilisha Bungeni leo hii muda mfupi uliopita. Waziri Kivuli Joseph Osmundi Mbilinyi aka Sugu amemtaja Zitt… Read More
0 comments:
Post a Comment