MCHEZAJI kinda wa klabu ya
Chelsea na raia wa Tanzania, Adam Nditi ameilaumu serikali ya Tanzania
kuwanyima haki watanzania wengi walio nje ya nchi kuja kuitumikia nchi
katika fani mbalimbali kutokana na kushindwa kuruhusu uraia wa nchi
mbili.Katika mahojiano maalum, Nditi amesikitishwa na...
-
Tutorial 1
This is Trial
-
Tutorial 2
This is slide 2 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...
-
Tutorial 3
This is slide 3 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...
Wednesday, 30 April 2014
Uchambuzi: Bayern Munich 0-4 Real Madrid

Ushindi wa Madrid wa bao 4-0 magoli mawili kila mmoja kwa Sergio Ramos na Cristiano Ronaldo yameivusha Madrid kwenda katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Mei 24 pale Lisbon Ureno kwa ushindi wa Jumla wa magoli 5-0.
KWA MATOKEO HAYO:-
> Real Madrid imefika fainali yake ya 13 tangu ianze...
Roy Hodson tayari anakikosi chake cha England cha Brazil............
MENEJA
wa England, Roy Hodgson, tayari anajua ni Wachezaji gani 23 atakuwa nao
huko Brazil kwenye Fainali za Kombe la Dunia zinazoanza Juni 12 na
hatarubuniwa na fomu ya Mchezaji yeyote kwenye Mechi hizi za mwisho za
Ligi Kuu England.
Akihojiwa na Wanahabari, Hodgson amesema
...
Je!! Unamjua Mbwa Mkubwa Zaidi Duniani........muangalie hapa...
Anaaminika
kuwa kwenye wanyama wa kubwa aina ya Mbwa basi huyu anawezekana kuwa
mbwa mkubwa zaidi. Jina alilopewa na mmiliki wake ni Freddy na anaurefu
wa futi 7 na nchi 4.
Mlo wake kwa siku una Kilo 6 anaishi Uingereza. ...
Ronaldo azidi avunja rekodi Ulaya............
Cristian Ronaldo avunja rekodi na kuwa mchezaji aliyefunga magoli mengi kwenye michuano ya UCL ndani ya msimu mmoj...
Je unamjua msanii wa kwanza wa Bongo Fleva kupata Vevo Account....fuatilia hapa.....
Gosberth
Kibanza aka Gosby Mwanamuziki wa kizazi kipya mwenye hit mbalimbali
kama Monifere na Video yake ya BMS ambayo ilivuka mipaka mpaka kituo cha
chanel O ya Afrika Kusini amekuwa mwanamuziki wa kwanza wa kizazi kipya
kuwa accepted na VEVO na kumpa account ya kuweka kazi zake za...
Davido naye apost picha akila ndizi...........
Amazing: Davido, Samuel Eto’o, Adebayor, Balotelli Post Banana Photos In Support
This awesome, this is amazing and breathtaking…. When I personally watched that video I was really touched…
Dani Alves ate the banana that was thrown at him, he started a revolution. Right now, it’s taken over the
social...
Samuel Etoo naye ampa support Dani Alves........

Unaambiwa club ya Villareal imemfungia
maisha yule shabiki ambae alionyesha kitendo cha kibaguzi kwa kumrushia
ndizi Dani Alves, kitendo ambacho kilitafsiriwa kwa Alves kufananishwa
na nyani.Wachezaji kadhaa wamemsupport kwa
ujasiri wake wa haraka na kula ndizi hiyo aliyotupiwa uwanjani alafu...
Costa:Najua Chelsea hawatapaki basi,watakuwa wanashambulia,lakini tutawafunga.....
MSHAMBULIAJI
hatari wa Atletico Madrid, Diego Costa anaamini kuwa Chelsea
hawatatumia mbinu yao ya kujilinda katika mchezo wa nusu fainali ya pili
ya UEFA leo katika uwanja wa Stamford Bridge.Jose Mourinho alitumia mbinu ya `Kupaki basi` katika...
Mr.Blue awataja waliomfilisi........

NYOTA wa Bongo Fleva, Herry Samir
maarufu kama Mr. Blue amesema wasichana warembo, Wema Sepetu na Najma
ambao aliwahi kutoka nao kimapenzi kwa nyakati tofauti miaka ya nyuma,
walimfilisi kutokana na matumizi makubwa ya fedha alipotoka nao viwanja.
Akizungumza na paparazi wetu hivi
karibuni, Mr....
UKAWA waruhusiwa kufanya mkutane Zanzibar leo hii...................

Hatimaye mkutano wa Umoja wa Katiba ya
Wananchi (Ukawa), uliokuwa umezuiwa kupisha sherehe za Muungano
utafanyika leo katika Viwanja vya Kibandamaiti, Unguja baada ya kupata
baraka za polisi.Mkutano huo awali ulikuwa ufanyike
Aprili 19, mwaka huu lakini ukazuiwa na polisi kwa maelezo...
TUCTA yawapigania wanafunzi..........
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi
(Tucta), limeazimia kuendelea kupigania kushushwa kwa Kodi ya Mshahara
(PAYE) kutoka asilimia 13 inayokatwa hivi sasa hadi asilimia tisa, ili
mfanyakazi apate ahueni ya maisha.Katibu Mkuu wa Tucta, Nicholas Mgaya,
alisema hayo jana...
Jaji Warioba awalipua wanaomsaliti Mwl.Nyerere.................

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya
Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema wanasiasa wanaomtuhumu
kwa kumsaliti Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuhusu Muungano,
ndiyo wasaliti kwa kuwa waliingiza kwenye Katiba, mambo yanayokinzana na
makubaliano ya Muungano huo.Jaji Warioba...
Basi lingine lapata ajali, laua 18..................

WATU 18 wamekufa papo hapo wakiwemo
askari Polisi wanne katika ajali ya barabarani, wakati basi
linalomilikiwa na Kampuni ya Sumry, lilipoparamia watu hao wakati
wakimsitiri mtembea kwa miguu, aliyekufa kwa kugongwa na gari
lisilofahamika.Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia
jana katika...
Diwani wa CCM kata ya Igalula,Tabora afariki dunia..........
Diwani Chama cha Mapinduzi (CCM) kata ya Igalula wilayani Uyui mkoa wa
Tabora, Seleman Kapalu amefariki dunia kwa maradhi ya kifua. Taratibu za
Mazishi zinaendelea.MUNGU AMLAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPON...
Ingekuwa vizuri sana kama huu ushririkiano uliopo wa UKAWA ungekuwa ni wa kudumu.....

Bila shaka kila mwananchi anayeitakia
mema nchi yetu amevutiwa na habari zilizochapishwa katika gazeti hili
jana kwamba vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi
(Ukawa), vimeamua kushirikiana katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kwa
kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya urais, ubunge...
Unakijua alichokisema Guardiola baada ya kupokea kipigo kutoka kwa Mdrid jana.........fuatilia hapa.
PEP
Guardiola ameeleza kuwa kiwango walichoonesha Bayern Munich ni kikubwa
mno japokuwa walifungwa mabao 4-0 na Real Madrid katika mchezo wa nusu
fainali ya pili ya UEFA kwenye uwanja wa Allianz Arena jana.The Bavarians walichanganyikiwa kwa mabao mawili...
Adnan Januzaj ahakikishiwa nafasi Ubelgiji katika fainali za kombe la dunia Brazil...
CHIPUKIZI
wa Manchester United, Adnan Januzaj, atakuwemo kwenye Kikosi cha awali
cha Kombe la Dunia cha Belgium kama ilivyohakikishwa na Kocha wa Nchi
hiyo Marc Wilmots.
Wiki iliyopita, Marc Wilmots ndie
alietoboa kuwa Januzaj amekubali kuichezea Belgium...
Real Madrid yaivua rasmi Bayern Munich Ubingwa UEFA ....yawapiga 5-0.......

BAYERN
Munich wamevuliwa ubingwa wa UEFA kwa kipigo cha mbwa mwizi baada ya
kufungwa mabao 5-0 na Real Madrid katika mechi mbili za nusu fainali ya
ligi ya mabingwa barani Ulaya.Mechi ya kwanza katika dimba la Santiago Bernabeu, Real Madrid
walishinda bao...
£830million zatumika kuutafuta ubingwa Ulaya.............
Tangu mwaka 2002 wakati Zinedine Zidane alipofunga moja ya magoli mazuri
kabisa katika historia ya Champions League na kuiwezesha Real Madrid
kutwaa wa ulaya kwa mara ya mwisho mpaka
leo – klabu hiyo ya Hispania imetumia zaidi ya £830million kwa ajili ya
usajili wa wachezaji mbalimbali...
Ashtakiwa kwa kuzinyofoa nyeti za mumewake kisa wivu na ugomvi wa kimapenzi..........

Jeshi la polisi mkoa wa Pwani
linamshikilia Husna Iddi Kisoma (19) , mkazi wa Kisemvule Mkuranga mkoa
wa Pwani kwa tuhuma za kumuua mumewe Jumane Mwalami (21) baada ya
kumvuta sehemu za siri na kuzinyofoa kutokana na ugomvi uliosababishwa
na wivu wa mapenzi.
Akizungumza...
Tazama hii picha ambayo wame-edit Rais Kenyatta akimuangalia askari mwenye hips za kudatisha..............

Mtu Mzima ni kama aamini anacho kiona....."Aisee huyu mleteni awe board guard wangu ...Life is Good.....ha...
Askari mwenye hips za kupagawisha Kenya achimbwa mkwara na bosi wake.........

Yule Polisi Mwanamke Nchini Kenya kwa
Jina Linda Amechimbwa mkwara na Bosi wake wa kituo cha Polisi kiambu
Kenya Baada ya Picha yake Kusambaa Mitandaoni Akiwa amevaa Kijisketi cha
Polisi kinacho mchora Hips na makalio yake kiasi cha kuleta utata
kwenye mitandao ya kijamii kwa kusababisha...
Wachezaji Mbeya City wazuiwa kuhama timu........

WAKATI klabu kongwe za Simba, Yanga na
Azam FC zikipiga hesabu za kuibomoa Mbeya City, Serikali imewaonya
wachezaji hao kukihama kikosi hicho kinachofundishwa na Juma Mwambusi.Zipo tetesi tofauti za wachezaji wa timu
hiyo iliyomaliza ligi ikiwa katika nafasi ya tatu katika ligi kuwaniwa...
Inasikitisha sana:Trafiki kafa ghafla akiwa kwenye daladala aliyoikamata............
Moshi. Ofisa wa polisi mwenye cheo cha
Koplo, Wilson Mwakipesile wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani
Kilimanjaro amefariki dunia ghafla akiwa ndani ya daladala alilokuwa
amelikamata.Hata hivyo, haikujulikana mara moja
iwapo trafiki huyo alifariki dunia akiwa njiani kulipeleka gari...
Tuesday, 29 April 2014
Je unazijua aina za vitambi....fuatilia hapa....!!!!!

1. Kitambi Mvurugo -- hiki kitambi kimekaa kama O.
Kinapatikana kwa kula sana kitimoto.
2. Kitambi Mchuchumio -- hiki kitambi kimekaa kama
herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na bia za
ofa.
3. Kitambi Mbonyeo -- Akivua shati kitovu hakionekani.
Hiki wanacho wala rushwa....
Mwanachuo afia chumbani kwa hawara yake...........

MSICHANA Atu Gabriel mwenye umri wa
miaka 20, mwanafunzi wa Chuo cha Eden Hill kilichopo Kwamfipa wilayani
Kibaha mkoani Pwani, amekutwa amekufa chumbani kwa mtu anayetajwa kuwa
ni hawara yake, Hafidh Mohammed.
Tukio hilo lilitokea April 26, mwaka huu
na kukusanya umati huku mwanaume...
Mbowe kaja na Plan B ni nodari sana.....
Katika kikao kimoja tulichofanyia Mwanza
mwaka jana mwishoni Mbowe aliwakuna wajumbe alipotupa siri kwamba
alikataa kuwa mwenye kiti wa Chadema mpaka kamati kuu walipokubali
mashariti yake. Baadhi ya mashariti ilikuwa kumuomba na kamati kuu
ikubali Dr Slaa awe Katibu mkuu badala ya makamu...
Alves awakomesha wabaguzi..................

Asee Dan Alvez n bonge la jembe kuna mshabiki kamrushia ndizi ye kaichukua kaimenya afu akaila huyooo akaendelea kupiga kona....inaitwa komesha ubaguzi...
THIS IS THE BEST FOOTBALL QUOTE EVER
Dani Alves-"I don't know who it was, but thanks to whoever threw the banana, the potassium gave me the energy...
Basi la Hood laungua vibaya Chalinze................

Zaidi ya Abiria 55 waliokuwa ndani
ya Basi la kampuni ya Hood,
wakisafiri kutoka Mbeya kwenda
Arusha walinusurika kufa baada ya
Basi hilo kushika moto na
kuteketea kabisa katika kijiji cha
Kilolele-Chalinze Mkoani Pwani.
...
Breaking News:Kavumbagu atua azam......

Na Mahmoud Zubeiry, Dar es Salaam
NAHODHA wa Burundi, Didier Kavumbangu
amesaini Mkataba wa miaka miwili na mabingwa
wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara,
Azam FC mchana wa leo, BIN ZUBEIRY imeipata
hiyo.
Kavumbangu aliyemaliza Mkataba wake wa
miaka miwili Yanga SC, ameamua kusaini Azam
FC baada...
Muslim Brotherhood latangazwa kama kundi la kigaidi nchini Misri.............
Serikali ya kijeshi ya Misri imetangaza kuwa chama cha Muslim Brotherhood ni kundi la kigaidi.
Uamuzi huo umetangazwa na Naibu Waziri Mkuu,Husam Muhammad Isa.
Serikali imekilaumu...