Facebook

Sunday 27 April 2014

Giggs apokelewa kwa shangwe O.T, inaonekana Moyes kuna vitu alikuwa anakosea wachezaji kulingana na kauli za Giggs........


article-2613799-1D6173B600000578-835_634x417
Kipenzi cha mashabiki: Kocha wa muda wa Manchester United, Ryan Giggs akiwapigia makofi mashabiki Uwanja wa Old Trafford baada ya kuiwezesha timu kushinda mabao 4-0 jana dhidi ya Norwich City katika mechi ya Ligi Kuu England ambayo ilikuwa ya kwanza tangu arithi mikoba ya David Moyes aliyefukuzwa wiki hii.
Hunting down: The win moved United closer to Tottenham in sixth place in the Premier League
Furaha imerudi: Ushindi huo umeisogeza United jirani na Tottenham inayoshika nafasi ya sita
Popular: The new Manchester United manager signs autographs for spectators at Old Trafford
Maarufu: Kocha mpya wa Manchester United akisaini autographs za mashabiki Uwanja wa Old Trafford
Dream team: Giggs takes a seat next to his coaching team of Nicky Butt, Paul Scholes and Phil Neville
Dream Team: Giggs akiwa ameketi na Wasaidizi wake, Nicky Butt, Paul Scholes na Phil Neville
Ryan Giggs
Ryan Giggs
Tunamuamini Giggsy: Mabango ya kumtukuza Giggs
Replacement: Giggs began his interim reign at Old Trafford after David Moyes was sacked
Hivi ndivyo Giggs alipokelewa
Jumping for joy: Rooney opened the scoring five minutes before half-time from the penalty spot
Wayne Rooney alifunga bao la kwanza kwa penalti
Controversy: Welbeck was adjudged to have been brought down by Steven Whittaker
Danny Welbeck ndiye aliyeangushwa kwenye eneo la hatari na Steven Whittaker
No mistake: Rooney send Norwich goalkeeper John Ruddy the wrong way with his penalty
Rooney alimchambua vizuri kipa wa Norwich, John Ruddy aliyechupa upande tofauti na ulipokwenda mpira
Cometh the hour: Mata came off the bench to score United's third goal from close range
Juan Mata alitokea benchi na kufunga mabao mawili
Ryan Giggs
Ryan Giggs
Ushindi wa 4-0 ulikuwa mkubwa zaidi kwa United katika mechi za nyumbani, ambao timu hiyo haikuwahi kuupata chini ya David Moyes Uwanja wa Old Trafford

Moyes kuna vitu inaonekana alikua akiwakwaza wachezaji hapa ndo naamini wale waliosema alikwaruzana na Giggs mazoezini

"I want to bring back the Man United style of playing" 
 Hii statement ninzito sana
"The 40-year-old promised a return to the
traditional Manchester United style of
play ahead of kick off, with "passion,
speed, tempo, bravery and imagination,"

To the fore.
"All of us have let ourselves down this
year, we haven't played to the quality
we are capable of but we did that this
afternoon," added Giggs. " 
Hizi kauli za Giggs, Moyes huko aliko atakua ana kasirika sana.

Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata uchambuzi wa kina katika mechi mbalimbali

HAPPYBIRTHDAY MANCHESTER UNITED 

0 comments:

Post a Comment