Facebook

Tuesday 29 April 2014

Basi la Hood laungua vibaya Chalinze................

 

Zaidi ya Abiria 55 waliokuwa ndani
ya Basi la kampuni ya Hood,
wakisafiri kutoka Mbeya kwenda
Arusha walinusurika kufa baada ya
Basi hilo kushika moto na
kuteketea kabisa katika kijiji cha
Kilolele-Chalinze Mkoani Pwani.

0 comments:

Post a Comment