Facebook

Monday 28 April 2014

Unataka kujua Moyes yuko wapi sasa hivi....fuatilia hapa......

 

......Wakati huu tukiendelea kupiga kelele nyingi kuhusu David Moyes...kumbe amesafiri na mke wake Pamela kwenda kupumzika Miami, Florida.. akiachana na kelele zetu.
 Tujiulize kama na sisi tunaweza kupigiwa kelele kisha tukaenda japo Zanzibar kupumzika. Ebu tufanye kazi...tuitafute pesa.....



Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata funununa habari mbalimbali kuhusu David Moyes na watu wengine walio mashuhuri...........

0 comments:

Post a Comment