Facebook

Sunday, 27 April 2014

Nissan watengeneza gari linalojiosha lenyewe..shuhudia hapa..................


Sasa naona Nissan wameamua kumvuruga kichwa mshkaji wangu Emmanuel Mchunguzi, na gari lao jipya lenye uwezo wa kujisafisha lenyewe, yaani hakuna kuosha gari kabisa.
 usishtuke sana bwana Emmanuel Mchunguzi, Nissan walaaaa, wanafanya yao tu, ila licha ya kuwa ni gari kali, lakini siwezi kuliita gari linalojiosha lenyewe (mtanisamehe Nissan) bali ni gari ninaloweza kusema halishiki uchafu wa aina yoyote, na hata hiki kipande cha video kilichotolewa na Nissan kinathibitisha hili.
Nissan wameanzisha rangi isiyoruhusu. vumbi, matope, uchafu wala maji kubaki kweye body ya gari na kuiacha gari ikiwa ina ng'ara bila ya kuiosha wala kuifuta.
 Kwa mujibu wa Nissan rangi hiyo inazuia maji na mafuta pia, na ubunifu huo ulifanikiwa kwa "kutengeneza tabaka la kinga ya hewa kati ya rangi na mazingira".


Rangi hiyo inaitwa Ultra-Ever Dry na imetengenezwa na UltraTech International Inc.







Gari hili la majaribio linaonyesha upande wa kulia uliopakwa rangi hiyo na upande wa kushoto wenye rangi ya kawaida.

Angalia video hiyo hapa chini...
 
 

Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com uweze kufahamu maendelea ya kasi yanayofanyika katika nyanja ya sayansi natechnolojia

Related Posts:

  • ORODHA YA VIWANJA VYA NDEGE VYA KIMATAIFA 5 BORA ZAIDI AFRIKA.... 1. OR TAMBO INTERNATIONAL AIRPORT  (ORTIA), JOHANNESBURG - AFRIKA KUSINI.Kiwanja hiki ndicho kiwanja bora zaidi Afrika na kina uwezo wa kuhudumia zaidi ya watu Milioni 17 kwa mwaka na kwa sasa kiwanja hiki kimefanyi… Read More
  • Tetemeko la Ardhi laitikisa Morogoro. Leo majira ya saa tisa usiku kumetokea tetemeko la ardhi katika baadhi ya maeneo ya mkoa wa Morogoro,yakiwemo maeneo ya Bigwa,Tungi,Kolla B,Misongeni Lilidumu kwa sekunde chache sana,ila lilitikisa kweli kweli!mpaka sasa hak… Read More
  • Aenda kutahiriwa,madaktari wakati "nanihii" yote Mtu mmoja mjini Alabama nchini Marekani amefungua kesi ya madai baada ya kudai kuwa alikwenda kutahiriwa lakini madaktari wakaondoa uume wake wote. Tovuti ya Metro imesema Johnny Lee Banks Jnr anadai kuwa alikwen… Read More
  • 20 Most Peaceful Countries in the World Do you know which are the most peaceful countries in the world? Since 2007 each year, the Global Peace Index has been issued by the IEP (Institute for Economics and Peace) and is a measurement of nations’ and regions’… Read More
  • 5 tips for choosing your GPS DVERTISEMENT With the development of new technology and the latest IT innovations, road guidance systems become a vital tool of everyday life of many people. Easy to use, the GPS (Global Positioning System) or GPS sat… Read More

0 comments:

Post a Comment