Facebook

Monday 28 April 2014

Picha ya waziri wa Italia iliyoeditiwa na kusambaa mitandaoni............


 
Anaitwa Mary Elene Boschi... Ni Waziri wa Marekebisho ya Katiba na Uhusiano wa Bunge wa nchini Italia. Picha yake imesambaa kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii na kunukuliwa tofauti...picha hiyo iliyoeditiwa na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii imezua gumzo.

Ukweli ni kwamba, picha hiyo sio picha halisi imefanyiwa editing na kusambazwa kwenye mitandao.
 
 
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com uweze kujua vioja na vituko mbalimbali 
vinavyofanyika duniani

0 comments:

Post a Comment