Facebook

Wednesday 30 April 2014

£830million zatumika kuutafuta ubingwa Ulaya.............


article-2615739-059DB279000005DC-440_634x394
 
Tangu mwaka 2002 wakati Zinedine Zidane alipofunga moja ya magoli mazuri kabisa katika historia ya Champions League na kuiwezesha Real Madrid kutwaa wa ulaya kwa mara ya mwisho mpaka leo – klabu hiyo ya Hispania imetumia zaidi ya £830million kwa ajili ya usajili wa wachezaji mbalimbali ili kuweza kutimiza ndoto yao ya kuwa timu ya kwanza ya ulaya kufikisha idadi ya makombe 10 ya ulaya. WACHEZAJI WALIOSAJILIWA NA MADRID KATIKA KULISAKA KOMBE LA 10 LA ULAYA:
02/03
Ronaldo (Inter) £20m
03/04
David Beckham (Man Utd) £25.5m
04/05
Walter Samuel (Roma) £16.7m
Michael Owen (Liverpool) £8m
Jonathan Woodgate (Newcastle) £13.4m
Antonio Cassano (Roma) £5m
Thomas Gravesen (Everton) £2.5m
05/06
Cicinho (Sao Paolo) £3.5m
Robinho (Santos) £20m
Julio Baptista (Sevilla) £16.9m
Sergio Ramos (Sevilla) £22m
06/07
Ruud van Nistelrooy (Man Utd) £11m
Mahamadou Diarra (Lyon) £21m
Fabio Cannavaro (Juventus) £6m
Emerson (Juventus) £26m
Christoph Metzelder (Dortmund) Free
Wesley Sneijder (Ajax) £22.7m
Javier Saviola (Barcelona) Free
Roysten Drenthe (Feyenoord) £11.5m
07/08
Gabriel Heinze (Man Utd) £8m
Arjen Robben (Chelsea) £24m
08/09
Rafael van der Vaart (Hamburg) £11.4m
Lassana Diarra (Portsmouth) £20m
Klaas-Jan Huntelaar £20m
09/10
Kaka (Milan) £56m
Cristiano Ronaldo (Man Utd) £80m
Karim Benzema (Lyon) £25m
Alvaro Arbeloa (Liverpool) £3.5m
Xabi Alonso (Liverpool) £30m
10/11
Angel Di Maria (Benfica) £29m
Sami Khedira (Stuttgart) £11.5m
Sergio Canales (Racing) £4m
Ricardo Carvalho (Chelsea) £6.7m
Mesut Ozil (W Bremen) £12.4m
11/12
Nuri Sahin (Dortmund) £8m
Jose Callejon (Espanyol) £5.5m
Fabio Coentrao (Benfica) £25.5m
Raphael Varane (Lens) £11.5m
12/13
Luka Modric (Spurs) £33m
Diego Lopez (Sevilla) £3m
13/14
Isco (Malaga) £23m
Asier Illarramendi (Sociedad) £34m
Gareth Bale (Spurs) £85.3m
Daniel Carvajal (Leverkusen) £5m

0 comments:

Post a Comment