Sunday, 27 April 2014
Jaji Warioba atoa ya Moyoni dhidi ya Uongo na Matusi Bunge la Katiba........
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba amesema baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wametumia vibaya Bunge hilo kwa kumshambulia na kumsingizia mambo ya uongo kwa makusudi, akisema matusi yanayotolewa dhidi yake yanamuumiza.
Aidha, Warioba amesema ingawa haelewi kwa nini wanaomshambulia wameamua kutumia lugha za matusi dhidi yake binafsi, hatajutia kuchaguliwa kuiongoza tume hiyo kwa kuwa ilikusudia kuwaletea maendeleo wananchi wote kwa kuwapatia Katiba wanayoitaka.
Kauli hiyo ya Jaji Warioba imekuja wakati baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba na viongozi wa CCM wakiikosoa Rasimu ya Mabadiliko ya Katiba kwa maneno makali,huku wakimshutumu na kumkejeli yeye na baadhi ya wajumbe wa tume aliyoiongoza.
Related Posts:
Mrema Ampasha Mbowe: Sitaki uwaziri kivuli Niaibu aibu kwa Mbowe kusema hata niteua uwaziri kivuli Mbowe alishaa kuwa nani katika nchi hii mm sitaki kuwa kivuli nataka uwaziri kamili Nimewahi kuwa NAIBU waziri mkuu na waziri Wa mambo ya ndani … Read More
Mvutano mkali unaendelea kati ya Serikali na Bunge kisa Vigogo wa Maliasili na Utalii Sasa ni dhahiri kwamba kuna msuguano wa wazi kati ya mihimili miwili ya dola, Bunge na Serikali, kuhusiana na hatua ya Serikali kuchelewa kutekeleza maazimio ya Bunge.Msuguano huo umeshika kasi wiki hii baad… Read More
Kinana Amtaka Maalim Seif Ajiuzulu CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad, kama kweli hataki Muungano wa serikali mbili, amuandikie barua Rais wa Zanzibar, Dk Mohamed Shein na kujiuzulu wadhifa w… Read More
‘JK, Shein ndiyo Wanaoweza Kuirejesha Ukawa Bungeni’ Dar es Salaam. Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Juma Duni Haji amesema watu pekee wanaoweza kulinusuru kundi la Umoja wa Katiba ya Watanzania (Ukawa), kurejea bungeni ni Rais Jakaya Kikwete na R… Read More
Dr Mwakyembe"Madereva wa Malori ya Kwenda Nje ya Nchi Wanatutia Aibu wa Tanzania" Dr Mwakyembe Akiwa njiani kwenda Congo Kufungua Kituo cha Bandari ya Tanzania ambacho kitasaidia Malipo kwa Wafanya Biashara wa Wanaopitishia Mizigo ya Bandari ya Dar es salaam aliweza kuona hali halisi waliyonayo Made… Read More
0 comments:
Post a Comment