Sunday, 27 April 2014
Rose Ndauka kuolewa hivi karibuni...........
MSANII maarufu wa sinema za Kibongo, Rose Ndauka amesema kuwa watu wasiwe na wasiwasi kwani kwa mipango ya Mungu atafunga ndoa na mzazi mwenzake Maliki Bandawe hivi karibuni.
“Si muda mrefu mambo yatakuwa mazuri tulikuwa tunaendelea kujuana, nadhani sasa tunafahamiana vizuri hivyo watu wasiwe na shaka, tutafunga ndoa soon,” alisema.
Rose ambaye hivi karibuni alihamasisha zoezi la usafi na kuungwa mkono na wasanii mbalimbali akiwamo Meya wa Ilala Jerry Slaa, alisema watu wasihofu kuhusu ndoa hiyo kwani ipo njiani.
“Hatujui labda kuchelewa kwetu kuna kitu Mungu amekiepusha, siku zote haraka haraka haina Baraka,” alisisitiza Ndauka ambaye amepanga kutembea Tanzania nzima kuwahamasisha wananchi kuzingatia usafi
Related Posts:
Shakira aweka rekodi kwa kuwa mtu wa kwanza Duniani kuwa na Likes Milioni 100 Facebook. Msanii Shakira amekuwa mtu wa kwanza duniani kuwa na Likes [Mashabiki] milioni 100 katika ukurasa wake wa Facebook na kuwapiku wasanii wakubwa kama Rihanna na Lady Gaga. Shakira ambaye ni raia wa Columbia amevun… Read More
Aelezea kwa nini alikata uume wake Je unamkumbuka mwanamuziki wa kufoka Andre Johnson ambaye alikata Uume wake mwezi Aprili na kisha kujirusha kutoka juu ya jumba moja mjin… Read More
Cover La Wimbo Mpya Wa Young Killer, Kuna Harusi Inakuja Rapper Young Killer Msodoki Ametangaza ujio wa wimbo wake mpya ‘Umebadilika’ utakao toka July 22 2014.Mpaka sasa imefahamika kuwa kwenye wimbo huu kashirikishwa Banana Zorro na amefanya na producer wa Combination S… Read More
P Square wakutana na ndugu na Micheal Jackson kuongelea kufanya kazi pamoja. Ni miongoni mwa ndugu wa mfalme wa pop Micheal Jackson anayeongelewa zaidi kwenye vyombo vya habari, Jermaine Jackson ambaye kwa sasa imeripotiwa kuwa yupo Nigeria kwa mualiko aliopewa na wasanii wa kubwa Africa P Square… Read More
Beyonce kuwania tuzo 8 MTV. Beyoncé anawania tuzo nane katika tuzo za MTV, ikiwemo video bora ya mwaka, msanii bora wa kike na unenguaji bora. Wimbo wake Drunk in Love, alioimba pamoja na mumewe Jay-Z, unapambana na nyimbo kadhaa ukiwemo Ha… Read More
0 comments:
Post a Comment