Facebook

Wednesday 30 April 2014

Diwani wa CCM kata ya Igalula,Tabora afariki dunia..........



Diwani Chama cha Mapinduzi (CCM) kata ya Igalula wilayani Uyui mkoa wa Tabora, Seleman Kapalu amefariki dunia kwa maradhi ya kifua. Taratibu za Mazishi zinaendelea.MUNGU AMLAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI.…

0 comments:

Post a Comment