Facebook

Sunday 27 April 2014

Ndugu na marafiki wa Mwanaisha washangazwa Chidi Benz kupewa dhamana licha ya aliempiga kuwa na hali mbaya.....



Juma nne (22 April) tuliripoti habari zilizomhusisha rapper Chidi Benz kumjeruhi vibaya aliewahi kuwa mpenzi wake "Mwanaisha Kiboye" kwa kile kilichodaiwa kumuita kwa nguvu wakati Chidi Kipita na mpenzi wake mpya. 
Mwanaisha aliharibika vibaya maeneo ya usoni na kusababisha kushonwa nyuzi 18 nauso pamoja na kichwa kuvimba na kumsababisha kuzimia kila wakati.
Rafiki wa Mwanaisha amesikitishwa kuskia kuwa Chidi ametoka kwa dahamana ya shilingi laki moja licha ya kuwa hali ya mgonjwa ni mbaya mpaka kufikia kuthibitishwa na hakim pamoja na mkuu wa kituo

0 comments:

Post a Comment