Thursday, 24 April 2014
Diamond ana haha kufanya collabo na Beyonce.........fuatilia hapa......
Hii Habari nimeisoma katika Gazeti moja Jana kuwa Diamond anahangaika kuwasiliana na Beyonce ili wafanye Wimbo Pamoja , Inasemekana Diamond alitafuta Number ya Beyonce kwa bahati nzuri akaipata na kumpigia simu na kumweleza anachotaka ila Beyonce akamkatiza na Kumuuliza huna Manager ? na Kisha kukata simu
..kwani Maswala ya Kazi Kwake lazima yapitie kwa Manager akiwa na Maana kuwa Manager wa Diamond Awasiliane na Manager wa Beyonce ndio Waanzia hapo kama kikieleweka poa , Mhh Goodluck Brother kama ni kweli na Ufuate Protocol
Related Posts:
Picha za Gari jipya la Ney wa Mitego. Mastaa mbalimbali wa Tanzania wamekua wakionyesha magari yao ambayo mengi yamekua ya kifahari,kwa mwaka 2014 ni mwaka unaonyesha wasanii wengi kumiliki magari ya gharama zaidi,mpaka sasa ni zaidi ya wasanii watano … Read More
Mbasha:Gwajima niachie mke wangu Flora MUME wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha anayedaiwa kumbaka binti wa miaka 17 (jina lipo), Emmanuel Mbasha ameibuka mzimamzima na kumtaka Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo la jijini Dar, Josephat… Read More
Riyama Ali:"Nikifa Sitaki Kusifiwa" RIYAMA Ali mwigizaji wa kike asiye na kashifa katika tasnia ya filamu Bongo, amefunguka kwa kusema kuwa kama kuna msanii mwenzake au mtu mwenye mapenzi naye angependa kama ana sifa kuhusu yeye katika umahiri wa kuigiza… Read More
Rapper Lil Kim ajifungua mtoto wa kike Rapper Lil Kim aliyezaliwa miaka 39 iliyopita, siku ya jana June 9 saa 3 na dakika 58 alijifungua asubuhi katika hospitali ya Hackensack University Medical Center iliyoko New Jersey, Marekani, kwa mujibu wa Huffingt… Read More
Nuh Mziwanda ajichora tatoo ya jina la Shilole kuonyesha mapenzi ya dhati. Msanii kijana Nuh Mziwanda, ameamua kujichora tattoo yeney jina la Shilole "Shishi Baby" kwenye mkono wake kudhihirisha mapenzi yake kwa msanii huyo Nuhu licha yakuchora tattoo hiyo aliambatanisha maneno haya kat… Read More
0 comments:
Post a Comment