Thursday, 24 April 2014
Diamond ana haha kufanya collabo na Beyonce.........fuatilia hapa......
Hii Habari nimeisoma katika Gazeti moja Jana kuwa Diamond anahangaika kuwasiliana na Beyonce ili wafanye Wimbo Pamoja , Inasemekana Diamond alitafuta Number ya Beyonce kwa bahati nzuri akaipata na kumpigia simu na kumweleza anachotaka ila Beyonce akamkatiza na Kumuuliza huna Manager ? na Kisha kukata simu
..kwani Maswala ya Kazi Kwake lazima yapitie kwa Manager akiwa na Maana kuwa Manager wa Diamond Awasiliane na Manager wa Beyonce ndio Waanzia hapo kama kikieleweka poa , Mhh Goodluck Brother kama ni kweli na Ufuate Protocol
Related Posts:
Lady Jay Dee afunguka baada ya kuzushiwa kutoka na "Serengeti Boy"Baada ya kuzushiwa kutoka kimapenzi na kijana mdogo "serengeti boys" na gazeti moja kubwa nchini linaloongoza kwa udaku,Lady Jay Dee kupitia ukurasa wake wa Facebook akanusha taarifa hizo. Akiwa katika hali ya kusononesha san… Read More
Angelina Jolie na Brad Pitt wafunga ndoa. Wacheza filamu maarufu wa Marekani, Angelina Jolie na Brad Pitt wamefunga ndoa. Sherehe ndogo ya faragha iliyofanyika nchini Ufaransa,imemaliza miaka na mikaka ya tetesi za vyombo vya habari, ikiwa watafunga ndoa au la… Read More
Diamond avamiwa wakati akiwa jukwaani Ujeruman.Usiku wa Jumamosi Agosti 30, 2014, majira ya saa 10 alfajiri, mwanamuziki nyota wa Bongo Flavor, Nasib. Abdul maarufu kama Diamond Platnumz alijikuta katika hali ya hatari hadi kuokolewa na Polisi mjini Stuttgart,… Read More
Diamond atajwa kuwania tuzo za kimataifa. Muimbaji wa Tanzania, Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo za reggae za kimataifa na muziki wa dunia 2014 (International Reggae and World Music Awards (IRAWMA). Diamond ametajwa kuwania kipengele cha Best … Read More
Mrembo akataa kurejesha taji lake la u-miss Mya Myat anataka aombwe msamaha na waandalizi wa shindano la taji hilo Mshindi wa taji la urembo nchini Burma aliyenyang'anywa taji lake wiki iliopita ,amekataa kurudisha taji hilo kwa waandalizi wa mashindano hayo… Read More
0 comments:
Post a Comment