Facebook

Monday, 21 April 2014

Moyes azidi kuwakera mashabiki,United yachapwa na Everton..................soma hapa.............

MOYES_MASIKITIKO 

Jumapili 20 Aprili 2014
Norwich 2-3 Liverpool
Hull 0-3 Arsenal
Everton 2-0 Man United

 WALIKUWA HAWAJAWAHI kuifunga Man United nje ndani kwenye Ligi tangu 1969 lakini Msimu huu Everton wamefanikiwa kuifunga Man United mara mbili na Leo ni Bao 2-0 huko Goodison Park.
Hii ni mara ya 4 tu kwa Everton kuifunga Man United katika Mechi 37 za Ligi na haya yote yanajumlisha Msimu wa aina gani David Moyes, Meneja wa zamani wa Everton aliechukua Timu ya Mabingwa Man United Msimu huu, na kuifanya ipokee kipigo cha 11 kwenye Ligi na kubakia Nafasi ya 7.
Mgoli za Everton, la kwanza  lilifungwa kwa Penati na Leighton Baines na la pili likifungwa na Mirallas, yote Kipindi cha Kwanza, na kuwaacha Washabiki wa Man United kwenye majonzi huku wakijiuliza na kuhoji upangaji wa Timu wa Moyes ambae kwenye Mechi ya 55 mfululizo hajapanga Timu ile ile na kila kukicha anabadili Kikosi

Related Posts:

  • Costa na Gabriel washtakiwa na FA.Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa ameshtakiwa kwa madai ya kutaka kuzua ghasia ambayo hayakuonekana na maafisa wa mechi hiyo lakini ambayo yalinaswa katika ukanda wa video. Mshambuliaji huyo alihusishwa katika kisa na beki … Read More
  • YANGA YATUMA SALAMU MSIMBAZILigi Kuu ya Tanzania Bara imeendelea leo kwa kushuhudia viwanja vinne vikiwaka moto, ambapo katika uwanja wa Taifa Dar es salaam, mabingwa watetezi Yanga wamepata ushindi wa tatu mfululizo kwa kuichapa JKT Ruvu mabao 4-1. Mab… Read More
  • Real Madrid yamnasa mkimbizi Osama.Soka limetumika sana kusambaza upendo kwenye ishu ya wakimbizi wa Syria ambayo imetoka wiki chache zilizopita. Stori ya mkimbizi huyu Osama Abdul Mohsen ambapo video yake ilisambaa akiwa amembeba mwanae anakimbia huku mpiga p… Read More
  • Van Gaal aimwagia sifa timu yake.Meneja wa Klabu ya Manchester United Louis van Gaal ambaye baada ya Ushindi wa jana mabao 3-2 dhidi ya Southampton sasa amesema kikosi chake kina uwezo wa kuchukua ubingwa wa Ligi ya England katika msimu huu wa ligi. Ushindi … Read More
  • Ratiba ya Mechi za Ligi kuu Uingereza Septemba 19 na 20.Kesho Jumamosi Septemba 19 14:45 Chelsea vs Arsenal 17:00 Aston Villa vs West Brom 17:00 Bournemouth vs Sunderland 17:00 Newcastle Utd vs Watford 17:00 Stoke City vs Leicester 17:00 Swansea vs Everton 19:30 Manchester City vs… Read More

0 comments:

Post a Comment