Monday, 21 April 2014
Muziki wa bongo waanza kupiga hatua,video ya Izzo B yachezwa Channel O.........fuatilia hapa.........!!!!!!
Harakati za kuuvusha muziki wa Tanzania nje ya mipaka ya Tanzania ni pamoja na kupata airtime kwenye vituo vya kimataifa ambapo Channel O ni kituo mojawapo kati ya vituo vinavyoaminika kwa kusambaza upendo na kuonyesha wanachofanya Waafrika.
Imekua ni sherehe au furaha kubwa sana pale Mtanzania anapopata nafasi ya video yake kuchezwa Channel O ambapo baada ya Weusi na yao ya ‘nje ya box’ sasa ni staa kutoka 87.8 Mbeya ndio anaichukua headline.
Related Posts:
BantuTz MAGAZETINI:SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA KURASA ZA MAGAZETI MBALIMBALI YA LEO MACHI 31,2015. BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa k… Read More
Mchungaji Gwajima aondolewa chumba cha Wagonjwa mahututi. Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima aondolewa katika chumba cha uangalizi Maalum (ICU) TMJ baada ya kupata nafuu na hali yake kuendelea vizuri. … Read More
Mapacha watatu waja na mabadiliko Kutoka kundi la Mapacha Watatu, Msanii wa Muziki Khaleed Chokoraa ameeleza kurejea na mabadiliko makubwa katika muziki wao wa dansi.Mabadiliko hayo makubwa ikiwepo kupunguza kutaja majina ya watu na vilevile urefu wa nyimbo … Read More
BantuTz MAGAZETINI:SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA KURASA ZA MAGAZETI YOTE YA LEO APRIL 1,2014. BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa k… Read More
Baba mdogo wa msanii nguli nchini Profesa Jay Amefariki dunia.Kupitia ukurasa wake wa instagram @professorjay amepost hiki hapa chini kuhusiana na msiba huo. … Read More
0 comments:
Post a Comment