Monday, 21 April 2014
Muziki wa bongo waanza kupiga hatua,video ya Izzo B yachezwa Channel O.........fuatilia hapa.........!!!!!!
Harakati za kuuvusha muziki wa Tanzania nje ya mipaka ya Tanzania ni pamoja na kupata airtime kwenye vituo vya kimataifa ambapo Channel O ni kituo mojawapo kati ya vituo vinavyoaminika kwa kusambaza upendo na kuonyesha wanachofanya Waafrika.
Imekua ni sherehe au furaha kubwa sana pale Mtanzania anapopata nafasi ya video yake kuchezwa Channel O ambapo baada ya Weusi na yao ya ‘nje ya box’ sasa ni staa kutoka 87.8 Mbeya ndio anaichukua headline.
Related Posts:
Filamu aliyoigiza Nick Minaj yaongoza kwenye chat wiki hii............. Filamu iliyochezwa na mastaa wa Marekani “The Other Woman” akiwemo rapper wa Young Money Nicki Minaj imefika namba moja kwenye filamu kubwa wiki hii kwenye American Box Office . Filamu hii ya mapenzi na v… Read More
Jay Z kumwaga pesa katika honey moon ya Kanye West.......... Jay Z ameripotiwa kumwambia rafiki yake wa karibu kuwa yeye na mkewe Beyonce Knowles na mtoto wao hawatahudhuria katika ndoa ya swahiba wake Kanye West itakayofanyika mwezi ujao jijini Paris Ufaransa.Sababu za kutohu… Read More
Unakijua alichokisema Prof Jay kuhusu Diamond kuelekea tuzo za MTV Africa........... Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kufahamu kauli mbalimbali za wasanii na maisha yao kiujumla.... … Read More
Jokate,Juma Nature watifuana............... PASUA jipu! Mastaa wawili wenye majina makubwa Bongo, mwanamitindo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Mbongo-Fleva Juma Kasim ‘Juma Nature’ wanadaiwa kuacha mshangao kwa wasanii wenzao baada ya kutifuana, Ijumaa Wiki… Read More
Diamond amshushua shabiki huko twitter..... Kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter, makubwa yamkuta follower mmoja wa msanii marufu hapa Tzee Dangote aka Diamond Platnumz, baada ya Diamond kupost picha yake nzuri tu, huku aki-show off tattoo zake, basi ishu ilikuwa… Read More
0 comments:
Post a Comment