Kingdom Tower litakuwa na urefu wa feet 3,280
kwenda juu. Gharama za usimikaji wa jengo hili ni Dollar Bil 1,23 litakuwa na floor 200, ujenzi wa jengo hili utatumika kwa zege na vyuma.
Feet 5.7 zege itachukua nafasi na tons 80,000 ni vyuma vitachukua nafasi
hadi kukamirika.
Saturday, 19 April 2014
MAAJABU:Waarabu huko Saudi Arabia wanataka kujenga Ghorofa refu zaid Duniani....litakuwa linafika hadi mawinguni jionee hapa kufuru ya Waarabu.......
By Unknown at Saturday, April 19, 2014
Education Materials, Funny and Cartoons, International
No comments
Related Posts:
Onyo kwa wakenya kuhusu kombe la dunia Shambulizi la hivi karibuni kukumba Kenya ni la Mpeketoni ambapo watu zaidi ya sitini waliuawa Serikali ya Kenya imewataka raiya kuwa waangalifu na kuwa… Read More
Rais wa Malawi kumuoa mpenzi wake Rais Mutharika (kulia) ana umri wa miaka 74 Rais mpya wa Malawi Peter Mutharika anatarajiwa kufunga pingu za maisha na mpenzi wake wa muda mrefu,mwishoni … Read More
Wanaharakati 8 washtakiwa Mombasa, Kenya Mombasa ni moja ya miji ambayo imeshuhudia utovu mkubwa wa usalama Wanaharakati wanane wamefunguliwa mashitaka mjini Mombasa Pwani ya Keny… Read More
Uganda yasema haitishwi na vikwazo Gazeti la Red Cross lilichapisha majina ya watu wanaoshukiwa kuwa wapenzi wa jinsia moja baada ya sheria kupitishwa Katibu mkuu wizara ya mambo ya nje wa… Read More
Ndege zisizo na rubani kutumiwa Mali Hali nchini Mali bado ni tete kwani usalama bado haujapatikana tangi vita kuanza Ndege zisizo na rubani zitaanza kutumiwa na Umoja wa Mat… Read More
0 comments:
Post a Comment