Facebook

Saturday, 19 April 2014

MAAJABU:Waarabu huko Saudi Arabia wanataka kujenga Ghorofa refu zaid Duniani....litakuwa linafika hadi mawinguni jionee hapa kufuru ya Waarabu.......


Kingdom Tower litakuwa na urefu wa feet 3,280  kwenda juu. Gharama za usimikaji wa jengo hili ni Dollar Bil 1,23 litakuwa na floor 200, ujenzi wa jengo hili utatumika kwa zege na vyuma. Feet 5.7 zege itachukua nafasi na tons 80,000 ni vyuma vitachukua nafasi hadi kukamirika. 
Mchoro wa jengo hilo la Kingdom Tower 



Endelea kutembelea www.katemimethsela.blogspot.com uweze kujua maajabu mbalimbali yaliyopo na yanayotaka kutokea duniani

Related Posts:

  • TUFANI LAZUA TAFRANI UFILIPINO   Upepo mkali umesababisha umeme kukatika na kulazimisha maelfu ya watu kukimbia makazi yao kufuatia Tufani Rammasun kugonga visiwa vya Ufilipino. Tufani hilo ambalo pia linajulikana kama Glenda, liligonga kisiw… Read More
  • Moto wateketeza karatasi za kura Malawi.    Zaidi ya karatasi elfu moja za kura za uchaguzi uliokuwa na utata wa Malawi, zimeteketezwa na moto katika mazingira ya kutatanisha. Chama cha upinzani cha MCP kilitaka kura hizo zihesabiwe upya za kiti ch… Read More
  • Fahamu Historia na sababu za mzozo wa Gaza kwa Ufupi.   Ukanda wa Gaza, ni kipande cha ardhi kilichopo katikati ya Israel na Misri, na eneo hilo limekuwa kitovu cha mzozo kati ya Israel na Palestina kwa miaka na mikaka. Israel iliikalia na kuidhibiti Gaza wakati wa… Read More
  • Serikali na Waasi wabadilishana wafungwa Mali.   Serikali ya Mali na waasi wa Tuareg wamebadilishana wafungwa kama ishara ya wema kabla ya kuanza mazungumzo ya amani. Jeshi limesema wanajeshi 45 waliokuwa wakishikiliwa na waasi kaskazini mwa nchi hiyo waliwasil… Read More
  • ISRAEL KUENDELEA NA MASHAMBULIZI GAZA   Israel imeonya maelfu ya Wapalestina mashariki na kaskazini mwa Gaza na kuwataka kuondoka majumbani mwao huku ikiendelea na mashambulizi ya anga. Onyo hilo linakuja baada ya mpango wa kusitisha mapigano wa Mi… Read More

0 comments:

Post a Comment