Sunday, 20 April 2014
Henry Kilewo atupia mtandaoni chat ya Whatsapp ya Ridhiwani na Jerry Slaa wakimponda Lowasa.............fuatilia hapa....................
Kwenye Ukarasa wa Facebook wa Henry Kilewo leo asubuhi nimekutana na hili:
"Muoneni huyu anawaza kuwa Rais baada ya kupewa ubunge.... never ever... RZ1 AMSHAMBULIA LOWASSA
RZ1 Jakaya Mrisho Kikwete, amemshambulia Edward Lowassa na kumuita mlevi na kamwe hataweza kuwa rais wa Tanzania baada ya baba yake, Jakaya Kikwete. Katika mazungumzo yake kwa njia ya Whatsapp kati yake na Jerry Slaa, meya wa Manispaa ya Ilala, Ridhiwani anarejea kauli yake ya miaka mingi kwamba, "Lowassa akiingia Ikulu, mimi nitahama nchi.
"Ukifuatilia kwa makini maelezo haya, utaweza kubaini mapema kuwa Lowassa anapigwa vita na Kikwete mwenyewe; Ridhiwani ni zumari la Kikwete katika mapambano kati ya Lowassa na yeye.RZ1 anafika mbali zaidi kwa kusema, mgogoro kati ya Zitto Kabwe na chama chake, umesababisha na Mwigulu kupandikiza watu wao ndani ya chama hicho. Kutokana na umuhimu wa hiki ambacho amekieleza, nimeona ni vema niweke hapa MF ili watu wajadili." Henry Kilewo
Related Posts:
Mrema aiomba mema ndoa ya CHADEMA,CUF NA NCCR-MAGEUZI MBUNGE wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP ) ametaja ushirikiano wa vyama vitatu vinavyounda kambi rasmi ya upinzani bungeni kwamba ni ndoa ambayo kama wahusika wangekuwa na nia njema, ungeanza siku nyingi tangu Chadema k… Read More
Wazalendo na Wasema Ukweli Tanzania Wanapopukutishwa Bila Woga!! Hivi inaweza kuwa kweli? Ukimjumlisha na huyu bwana wa EWURA Wazalendo na Wasema Kweli Wataisha. Kifo cha Mgimwa kiliingia kwenye mlolongo wa vifo kadhaa vyenye utata vilivyowahi kutokea nchini katika kipindi ch… Read More
MBOWE Mnatuhalibia Chama, Chadema Inazidi Kupoteza Mvuto Mimi nasema tena kuwa mimi nimwanachama hai wa CHADEMA, Nimemsema mh. Mbowe kwakuwa yeye ndiye mwenyekiti wetu na mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, haya yanayoendelea kukishushia heshma chama hayaoni? Dr… Read More
Haiwezekani Bunge kuwa sehemu ya kuficha wezi.. Nimejitokeza kuweka makala hii kimsingi tujadili mambo ya nayoendelea mjengoni, sasa tujadili jambo lililo ibuliwa jana na ndg kafulila,juu ya utafunwaji wa zaidi ya bilioni 200 benki kuu, ni ukweli usiofichika kwa s… Read More
Chadema wakiri, wakati umefika wa kuwasamehe Zitto Kabwe na wenzake CHADEMA sasa inapaswa kupitia upya na kufanya masahihisho. kwa maamuzi yote magumu yaliyo wahi kuchukuliwa na vikao vya chama hasa KAMATI KUU.kwakuwa imeweza kutengua msimamo wake na kuvunja serikali kivuli bunge… Read More
0 comments:
Post a Comment