Sunday, 20 April 2014
Henry Kilewo atupia mtandaoni chat ya Whatsapp ya Ridhiwani na Jerry Slaa wakimponda Lowasa.............fuatilia hapa....................
Kwenye Ukarasa wa Facebook wa Henry Kilewo leo asubuhi nimekutana na hili:
"Muoneni huyu anawaza kuwa Rais baada ya kupewa ubunge.... never ever... RZ1 AMSHAMBULIA LOWASSA
RZ1 Jakaya Mrisho Kikwete, amemshambulia Edward Lowassa na kumuita mlevi na kamwe hataweza kuwa rais wa Tanzania baada ya baba yake, Jakaya Kikwete. Katika mazungumzo yake kwa njia ya Whatsapp kati yake na Jerry Slaa, meya wa Manispaa ya Ilala, Ridhiwani anarejea kauli yake ya miaka mingi kwamba, "Lowassa akiingia Ikulu, mimi nitahama nchi.
"Ukifuatilia kwa makini maelezo haya, utaweza kubaini mapema kuwa Lowassa anapigwa vita na Kikwete mwenyewe; Ridhiwani ni zumari la Kikwete katika mapambano kati ya Lowassa na yeye.RZ1 anafika mbali zaidi kwa kusema, mgogoro kati ya Zitto Kabwe na chama chake, umesababisha na Mwigulu kupandikiza watu wao ndani ya chama hicho. Kutokana na umuhimu wa hiki ambacho amekieleza, nimeona ni vema niweke hapa MF ili watu wajadili." Henry Kilewo
Related Posts:
Unakijua alichosema Lukuvi juu ya wachochezi nchini na Jeshi kuongoza nchi.....soma hapa....... kama haukuweza kupata fursa ya kuangalia au kusikiliza kikao cha bunge la katiba leo hii...unaweza kupata fursa hapa kuweza kujua alichosema Mjumbe wa bunge la katiba ambaye pia ni wazirI William Lukuvi... Hizi n… Read More
Lukuvi atoa kauli Tata...........fuatilia Hapa......... “Rais Kikwete naye alikuwa mwanajeshi, sasa kuna ubaya gani kama mwanajeshi akitawala nchi. Kuna ubaya gani mwanajeshi mwenye akili akitawala nchi yetu. Mbona Komba (Kapteni John Komba), aliwahi kuwa mwanajesh… Read More
HOTUBA NZIMA YA TUNDU LISSU KATIKA BUNGE LA KATIBA.......Soma Hapa....... Mjumbe wa Bunge la Katiba, Tundu Lissu amesema Tanganyika ilikufa kwa amri iliyotolewa na Mwalimu Julius Nyerere na siyo kwa makubaliano katika hati ya Muungano. Lissu … Read More
Zitto kabwe atoa ya Moyoni Leo Bungeni...........soma hapa Mchakato wa katiba mpya unaendela mjini Dodoma huku wakijadili sura ya kwanza na ya sita,huku suala la serikali mbili na serikali tau likiendelea kuumiza vichwa Yafuatayo ni yale aliyoongea Mh.Zitto Kabwe leo pindi a… Read More
TBC YAHARIBU MWENENDO WA VIKAO VYA BUNGE LA KATIBA MPYA Shirika la Utangazaji Nchini (TBC) jana limevuruga mwenendo wa Bunge la Katiba baada ya kukata matangazo yake wakati mjumbe wa Bunge la Katiba, Tundu Lissu alipotoa ufafanuzi wa maoni ya walio wachache. Mgogoro huo ulito… Read More
0 comments:
Post a Comment