
Imebainika kuwa Zitto Kabwe alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Development Initiative (TADIP) kabla hajaondoka chadema.
Kwa mujibu wa Prof. Kitila Mkumbo, "...TADIP is chadema's NGO. Zitto was once a Director"
Zitto wa CHADEMA amefanya kazi hiyo ndani ya taasisi hiyo, malengo yake yakiwa ni...