Facebook

Tuesday 22 September 2015

Walcott mbioni kujiunga Barcelona.

Mshambuliaji wa Arsenal,Theo Walcott anaweza kujiunga na mabingwa wa La Liga timu na Champions League timu ya Barcelona, Miamba ya soka hiyo ya Hispania inafuatilia kwa ukaribu maendeleo ya mchezaji huyo wa kimataifa wa England.

0 comments:

Post a Comment