Facebook

Thursday, 17 September 2015

Jennifer Hudson akolea kwa penzi la Mkenya.

Ni miaka sita sasa tangu wawili hawa wawe kwenye mahusiano huku wakijaliwa kupata mtoto wa kiume ambaye ana uri wa miaka mitano.

Pengine wengi walidhani muimbaji na muigizaji mwanadada Jennifer Hudson hatadumu kwenye penzi la mcheza miereka mwenye asili ya nchi ya Kenya David Otunga kutokana na mapenzi ya maisha ya kistaa kutokudumu lakini kwa upande wao mambo yanazidi kunyooka.

Inaripotiwa ili kuimarisha penzi lake, Jennifer Hudson hataki hata kumuachia na kuwa mbali na Baba mtoto wake huyo. Mapema jumatano wiki hii kamera za mapaparazi ziliwanasa wawili hao wakiwa pamoja kwenye mtoko tamasha la wiki ya mitindo na urembo huko marekani.

Related Posts:

  • Nuh Mziwanda ajichora tatoo ya jina la Shilole kuonyesha mapenzi ya dhati. Msanii kijana Nuh Mziwanda, ameamua kujichora tattoo yeney jina la Shilole "Shishi Baby" kwenye mkono wake kudhihirisha mapenzi yake kwa msanii huyo Nuhu licha yakuchora tattoo hiyo aliambatanisha maneno haya kat… Read More
  • Riyama Ali:"Nikifa Sitaki Kusifiwa" RIYAMA Ali mwigizaji wa kike asiye na kashifa katika tasnia ya filamu Bongo, amefunguka kwa kusema kuwa kama kuna msanii mwenzake au mtu mwenye mapenzi naye angependa kama ana sifa kuhusu yeye katika umahiri wa kuigiza… Read More
  • Rapper Lil Kim ajifungua mtoto wa kike Rapper Lil Kim aliyezaliwa miaka 39 iliyopita, siku ya jana June 9 saa 3 na dakika 58 alijifungua asubuhi katika hospitali ya Hackensack University Medical Center iliyoko New Jersey, Marekani, kwa mujibu wa Huffingt… Read More
  • Picha za Gari jipya la Ney wa Mitego.   Mastaa mbalimbali wa Tanzania wamekua wakionyesha magari yao ambayo mengi yamekua ya kifahari,kwa mwaka 2014 ni mwaka unaonyesha wasanii wengi kumiliki magari ya gharama zaidi,mpaka sasa ni zaidi ya wasanii watano … Read More
  • Mbasha:Gwajima niachie mke wangu Flora MUME wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha anayedaiwa kumbaka binti wa miaka 17 (jina lipo), Emmanuel Mbasha ameibuka mzimamzima na kumtaka Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo la jijini Dar, Josephat… Read More

0 comments:

Post a Comment