Facebook

Thursday 24 September 2015

AKAMATWA NA VIUNGO VYA BINADAMU SINGIDA

Jeshi la polisi mkoani Singida linamshikilia mkazi mmoja wa mkoa wa wilaya ya Igunga, Tabora kwa tuhuma za kukutwa na viungo vya binadamu na nyara za serikali vikiwemo vipande viwili vya fuvu la binadamu, ngozi ya chatu, vipande vya ngozi ya simba na chupa tatu za mafuta ya samba.

0 comments:

Post a Comment