Jeshi la polisi mkoani Singida linamshikilia mkazi mmoja wa mkoa wa wilaya ya Igunga, Tabora kwa tuhuma za kukutwa na viungo vya binadamu na nyara za serikali vikiwemo vipande viwili vya fuvu la binadamu, ngozi ya chatu, vipande vya ngozi ya simba na chupa tatu za mafuta ya samba.
Thursday, 24 September 2015
AKAMATWA NA VIUNGO VYA BINADAMU SINGIDA
Related Posts:
Mwanafunzi wa kidato cha kwanza abakwa na kujeruhiwa vibaya Mwanza. Mwanafunzi wa kidato cha kwanza A katika shule ya sekondari Ntunduru wilayani Sengerema mkoani Mwanza (jina limehifadhiwa, 14), amejeruhiwa vibaya sehemu za siri na shingoni kutokana na kukabwa shingoni wakati akibakwa… Read More
KIJANA SANDE MWENYE KILO 250, AMEFARIKI DUNIA! Kijana Sande Mrema aliyekuwa na tatizo la kuwa na kilo nyingi zilizokuwa zikifikia 250 na umri wa miaka 25 aliyekuwa eneo la karakata katika moja ya Hoteli alipokuwa akiishi wakati akisubiri kupatikana kwa Ndege a… Read More
BantuTz MAGAZETINI-Soma kilichoandikwa katika Magazeti ya leo Novemba 22 BantuTz MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusoma na kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata … Read More
Ukawa wafichua njama za kuizima IPTL bungeni Dodoma. Wakati kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ikianza kupitia ripoti ya IPTL kuhusu uchunguzi wa ufisadi katika Akaunti ya Tegeta Escrow, wabunge wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umedai kwamba kuna mik… Read More
Apson awatumia kina Bashe kumchafua Membe na Jack Gotham.Nimeliona andiko la kumchafua Waziri Membe na Jack Gotham lakini nataka niwahakikishie tu kwamba halina chembe ya ukweli hata kidogo. 1. Ni kweli Jack Gotham yupo Dodoma na tumekuja pamoja kwenye msiba wa baba yake mdogo mare… Read More
0 comments:
Post a Comment