Facebook

Monday, 21 September 2015

Van Gaal aimwagia sifa timu yake.

Meneja wa Klabu ya Manchester United Louis van Gaal ambaye baada ya Ushindi wa jana mabao 3-2 dhidi ya Southampton sasa amesema kikosi chake kina uwezo wa kuchukua ubingwa wa Ligi ya England katika msimu huu wa ligi.
Ushindi huo umemfanya Mholanzi huyo kuendelea kukiamini kikosi chake huku kinda wa timu hiyo Anthony Martial aking'ara kwa kuweka kimiani magoli 2.

Ushindi huo umeipeleka klabu ya Man U mpaka nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu nyuma ya vinara Manchester City waliopoteza katika mchezo katika mchzo dhidi ya West Ham 2-1 siku ya jumamosi. Matokeo mengine Tottenham iliichapanga Crystal Palace 1 - 0. Liverpool ikitoka sare ya 1 kwa 1 Norwich City.

Related Posts:

  • NIFIKIRIAVYO:Yaya Toure na makombe yake, Hazard-Suarez na tuzo zao Karne ya 6 kabla ya kuzaliwa Kristo Generali wa China na mtaalamu wa mbinu za jeshini anayejulikana kama Sun Tzu aliandika kitabu “the art of war” sehemu ya maneno kwenye kitabu hicho muhimu sana kwenye jeshi la Uchina wak… Read More
  • :Ni ndoto tu..... Je Unadhani Hawa Jamaa Ipo Siku Watakuja Kucheza World Cup Na Euro Au Watashia Kuangalia Kwenye Tv Kama Shujaa Wao wa Nchi ile Ryan Giggs Na Majembe Mengine Ya Zamani ya Nchi ile kama Akina Ian Rush, Bellamy,… Read More
  • MAPATO KWA VILABU LIGI KUU UINGEREZA MSIMU 2013-14 Klabu zina njia kuu 3 za kujipatia kipato:- 1. mapato ya mechi - viingilio, kuuza chakula na vinywaji na nk 2. mapato ya kibiashara - shati wazamini, mikataba ya vifaa mbalimbali, bidhaa 3. mapato vyombo vya habari - televi… Read More
  • Makala:Maneno yanauma kuliko meno...    Cristiano Ronaldo alipokuwa mtoto, aliwahi kumpiga mwalimu wake na kiti kwa sababu alimtania kwa lafudhi yake ya Madeiran, Mourinho aliwahi kumuita Wenger Master of failure! Tuachane na hayo..Guardiola alifikish… Read More
  • Mambo muhimu usiyoyajua kuhusu Atletico Madrid Athletico Madrid imeonekana kuwa maarufu kwa baadhi ya wapenda soka hasa Tanzania katika siku za karibuni kutokana na kufanya vizuri kwenye la liga na Ligi ya Mabingwa Ulaya, lakini hii timu ni bora tokea muda… Read More

0 comments:

Post a Comment