Chama cha Mapinduzi kupitia mgombea wake John Magufuli katika Serikali ya awamu ya tano iwapo itapewa ridhaa yaa waTanzania imeahidi kuendelea kufungua milango ya kiuchumi kwa mikoa inayopakana na nchi jirani Kigoma ikiwemo huku wakazi wa mipakani wakitakiwa kulinda amani na mipaka ya nchi kwa kutoshiriki katika matukio ya kihalifu na kuweka mazingira mazuri ya kuvutia biasahara na nchi jirani na mkoa wa Kigoma
Friday, 18 September 2015
Dr.Magufuli aahidi kufungua milango ya kiuchumi na kudumisha Aman alipokuwa Kigoma.
Related Posts:
Na Happiness Katabazi:- DK.TULIA ACKSON HUFAI KUENDELEA KUWA NAIBU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALINAIBU Mwanasheria Mkuu wa Serikali ,Dk.Tulia Ackson Novemba 11 Mwaka huu, amechukua fomu ya Kugombea nafasi ya Spika kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM). Ieleweke kwamba Cheo cha Naibu Mwanasheria Mkuu wa serikali ni Cheo … Read More
Maalim Seif atangaza kutoshiriki Uchaguzi utakaorudiwa Zanzibar.Mgombea Urais kwa tiketi ya CUF Zanzibar Maalim Seif amesisitiza tena kuwa yeye na chama chake hawatoshiriki kwenye zoezi la kurudia Uchaguzi Visiwani Zanzibar kama ilivyotangazwa na ZEC Ameyasema hayo Jijini Dar baada ya kik… Read More
Kikwete afurahia kasi ya Rais Magufuli.Rais aliyeondoka mamlakani majuzi nchi Tanzania amesifu jinsi Rais mpya John Magufuli ameanza kufanya kazi na kumtaka aendelee vivyo hivyo. Rais mstaafu Jakaya Kikwete alisema hayo wakati wa kukabidhi rasmi ofisi yake kwa Rai… Read More
Bantuz MAGAZETINI-Soma kilichoandikwa katika Magazeti ya leo Novemba 13. BantuTz MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusoma na kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata ha… Read More
Serikali yasimamisha wafanyakazi 4 kwa tuhuma za wizi wa kuaminika Kilimanjaro.Wafanyakazi wanne wa halmashauri ya wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wamesimamishwa kazi na mweka hazina wa hospitali ya machame amefukuzwa kazi kwa tuhuma mbili tofauti za wizi wa kuaminika wa kujipatia zaidi ya shs.74mil/=.… Read More
0 comments:
Post a Comment