Facebook

Thursday 17 September 2015

Obama amtetea Mtoto aliyeshikiliwa na Polisi kwa kutengeneza saa iliyodhaniwa bomu.

Mtoto Ahmed Mohamed (14) ameachiwa huru baada ya Rais Obama kumtetea kwa kuisifia na kutaka aipeleke Ikulu saa aliyobuni na kutengeneza na kusababisha ashikiliwe na polisi mjini Texas, ikidhaniwa ni bomu.
Unazungumziaje hili?

0 comments:

Post a Comment