Mtoto Ahmed Mohamed (14) ameachiwa huru baada ya Rais Obama kumtetea kwa kuisifia na kutaka aipeleke Ikulu saa aliyobuni na kutengeneza na kusababisha ashikiliwe na polisi mjini Texas, ikidhaniwa ni bomu.
Unazungumziaje hili?
Thursday, 17 September 2015
Obama amtetea Mtoto aliyeshikiliwa na Polisi kwa kutengeneza saa iliyodhaniwa bomu.
Related Posts:
"Nyuma Ya Pazia" kuzama kwa Meli ya Titanic-Sehemu-Full Article "Kama ilivyo 'punje' moja ya mchanga katika fukwe za bahari kuu za dunia, ndivyo ulivyo ufahamu wetu mdogo mbele ya mambo mbalimbali makubwa na mengi tusiyoyajua duniani na mbele ya yale tunayodhani kuwa tunayajua".… Read More
Zifahamu faida za Tangawizi. Ni kiungo ambacho kinatokana na mizizi ya mmea wa Tangawizi. Mmea huu unafanana sana na Binzari ikiwa bado haijamenywa maganda yake. Na kwa hapa Tanzania Tangawi… Read More
Nyuma Ya Pazia Kuzama kwa Meli Ya Titanic-Sehemu Ya Pili Naam matajiri wote walishaingia ndani ya Meli wakiongozwa na John Jacob Astor ambaye kama nilivyosema hapo awali huyu ndiye alikuwa bilionea namba 1 duniani kwa wakati huo, Hakuna yeyote aliyejua kwamba Meli hii ya ki… Read More
Unafahamu madhara ya kufanya kazi usiku? Wanasayansi wanasema kuwa kufanya kazi katika muda usio wa kawaida kikazi au katika mazingira yaliyo ya upweke kunaweza kuzeesha ubongo na kufanya uwezo wa utendaji kuwa duni. Utafiti huo umeeleza katika jarida la… Read More
Steve Jobs is Apple Inc,Apple inc is Steve Jobs "iGenius" Binadamu tunaamini maisha ya mwanadamu hubadilika kutokana na mazingira,lakini mazingira hayo yanamtegemea mwanadamu kwa namna moja au nyingi,inamaana hivi ni vitu viwili vinavyotegemeana,Mwanadamu anayategemea mazingira na… Read More
0 comments:
Post a Comment