Facebook

Friday 18 September 2015

Joh Makin akataa kujihusisha katika kampeni za Kisiasa.

Joh Makini amesema anawaheshimu mashabiki wake kiasi ambacho amekataa mamilioni ya fedha kushiriki kwenye kampeni za siasa zinazoendelea.

Joh amesema ingawa wakiwa kama wasanii wana uhuru na haki ya kufanya hivyo, lakini wao kama Weusi wameona watawachanganya mashabiki wao.

0 comments:

Post a Comment