Facebook

Thursday 24 September 2015

Man United yaibuka na Ushindi mnono kombe la Ligi.

Manchester United imepata ushindi wa mteremko wa mabao 3-0 pale ilipomenyana na Ipswich Town katika mchezo wa kombe la ligi.
Mabao ya Rooney,Andreas Pereira na Anton Martial yalitosha kuwapa ushindi huo Man U. Katika michezo mingine Arsenal waliichabanga Totenham 2-1, Liverpool wakipata ushindi wa matuta wa 3-2 dhidi ya Carlisle.
Wakati huohuo ligi kuu ya soka ya nchini Hispania,La Liga iliendelea hapo jana ambapo Real madrid waliondoka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Athletic Bilbao huku Barcelona wakichabangwa mabao 4-1 kutoka kwa Celta Vigo.

0 comments:

Post a Comment