Manchester United imepata ushindi wa mteremko wa mabao 3-0 pale ilipomenyana na Ipswich Town katika mchezo wa kombe la ligi.
Mabao ya Rooney,Andreas Pereira na Anton Martial yalitosha kuwapa ushindi huo Man U. Katika michezo mingine Arsenal waliichabanga Totenham 2-1, Liverpool wakipata ushindi wa matuta wa 3-2 dhidi ya Carlisle.
Wakati huohuo ligi kuu ya soka ya nchini Hispania,La Liga iliendelea hapo jana ambapo Real madrid waliondoka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Athletic Bilbao huku Barcelona wakichabangwa mabao 4-1 kutoka kwa Celta Vigo.
Thursday, 24 September 2015
Man United yaibuka na Ushindi mnono kombe la Ligi.
Related Posts:
HEKIMA ZA KIIMBILA "MANCHESTER WANAPOJIFUNIKA KITAMBAA CHEUSI WAKATI WA JUA KALI" Naona sasa Manchester united wameamua kwenda Muhimbili na kupasuliwa kichwa wakati wao wanaumwa goti. Inasikitisha sana yani kwa jinsi walivyoshangilia ujio wa Angel di Maria… Read More
Rooney ateuliwa kuwa nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney ametajwa kuwa nahodha wa timu ya taifa ya England, na meneja Roy Hodgson. Rooney, 28, anachukua nafasi iliyoachwa na Steven Gerrard aliyestaafu, baada ya England kutolewa katika… Read More
Wachezaji waliovutia zaidi Brazil Huenda sio wachezaji wageni , lakini michuano ya kombe la dunia Brazil iliwaleta wachezaji hao kwa sura tofauti sana kwa mashabiki wa… Read More
TUANGAZIE VITIMBI NA VIHOJA LIGI YA KAGASHEKI Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
Barua ya Di Maria kwa mashabiki wa Real Madrid. New Manchester United signing Angel di Maria has written an emotional farewell letter to Real Madrid fans, published by Marca in Spanish. The English translation is below. He signed for United for £59.7m on Tuesday after mon… Read More
0 comments:
Post a Comment