Mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga Sc na Simba kuchezwa Jumamosi,Septemba 26, uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Nani kuibuka mshindi kati ya miamba hii ya soka,Acha maoni yako hapa chini.
Klabu ya Lille yawasilisha rasmi ofa ya kumsajili Samatta.Klabu ya Lille inayoshiriki Ligi Kuu ya Ufaransa imewasilisha rasmi ofa ya kumsajili mshambuliaji wa TP Mazembe ya DRC) na Taifa Stars, imefahamika.
Katika mahojiano na moja ya vituo vya televisheni vya Afrika Kusini usiku …Read More
0 comments:
Post a Comment