Facebook

Tuesday 22 September 2015

Simba vs Yanga Sc kupigwa Jumamosi Uwanja wa taifa.

Mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga Sc na Simba kuchezwa Jumamosi,Septemba 26, uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Nani kuibuka mshindi kati ya miamba hii ya soka,Acha maoni yako hapa chini.

0 comments:

Post a Comment