Facebook

Tuesday 22 September 2015

John Terry kurejea kikosini katika kombe la Capital One.

Kapteni wa Chelsea, John Terry alikosa michezo miwili ya mabingwa watetezi wa Premier League kwa kuwekwa benchi na kocha wake Jose Mourinho.
Lakini habari njema kuwa anaweza kuanza kucheza Jumatano katika kombe la Capital One.

Unaonaje maamuzi ya Mourinho kumuweka benchi yana faida ama hasara kwa timu ya Chelsea? Acha maoni yakohapa chini.

0 comments:

Post a Comment