Facebook

Friday 18 September 2015

Baada ya T-Shirt,Lowassa aja kivingine baada ya kutengeneza kinywaji Chake.

Ni katika hali ya kustaajabisha baada ya kutengeneza t-shirt mbalimbali kwa ajili ya kuhakikisha Jina la Lowassa linakuwa katika vichwa vya wapiga kula.Baada ya mabango mbalimbali yenye Picha za Lowassa kusambazwa kila kona.

Hivi sasa amekuja kivingine baada ya kutengeneza kinywaji/Pombe kupitia kampuni ya "John Walker" ambayo itakuwa inauzwa katika sehemu za starehe.

Endelea kutembelea www.bantuz.com kwa habari za kina na uhakika.

0 comments:

Post a Comment