Facebook

Tuesday 22 September 2015

VIDEO:Dr.J.P.Magufuli apiga 'Push-Up' kabla ya kuwahutubia Wananchi wa Misenyi-Kagera.


Katika hali ambayo si ya kutarajia Mgombea wa Urais kwa kitu ya Chama Cha Mapinduzi Dr.John Pombe Magufuli alipiga "PUSH UP" kabla ya kuwahutubia wananchi wa wilaya ya Misenyi Mkoa wa Kagera asubuhi ya leo.

Angalia video ikimuonyesha Dr.John Pombe Magufuli akipiga "Push-Up"
Bofya hapa-->; DR.MAGUFULI AKIPIGA PUSH-UP

0 comments:

Post a Comment