Facebook

Monday 21 September 2015

Mabasi ya mwendokasi 138 yawasili Dar es Salaam.

Mabasi 138 yatayotumika katika mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam yamewasili katika bandari ya Dar es Salaam huku mkuu wa mkoa huo Said Meck Sadick akisema nauli watakayotozwa watu watakaotumia usafiri huo itakuwa katika kiwango ambacho watumiaji wake wanamudu kuilipa.

0 comments:

Post a Comment