Mabasi 138 yatayotumika katika mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam yamewasili katika bandari ya Dar es Salaam huku mkuu wa mkoa huo Said Meck Sadick akisema nauli watakayotozwa watu watakaotumia usafiri huo itakuwa katika kiwango ambacho watumiaji wake wanamudu kuilipa.
Monday, 21 September 2015
Mabasi ya mwendokasi 138 yawasili Dar es Salaam.
Related Posts:
MGOMO WA MADEREVA WAMALIZWA SALAMA DSMWaziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudencia Kabaka amefanikiwa kumaliza mgomo wa madereva baada ya kutangaza kufuta agizo lililokuwa likiwataka madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma tena katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji… Read More
Mchungaji Gwajima "Bastola iliyokamatwa ni yangu na nina imiliki kihalali.Kuhusu wafuasi wake kukamatwa na bastola, Mchungaji Gwajima amesema bastola hiyo ni mali yake halali anayoimiliki. "Usiku wasiwasi ulizidi, huku kila mmoja akiwa hafahamu kwa nini ujumbe ule wa kuwa mimi nimefariki unasambazw… Read More
Hili ndilo Tamko la Maaskofu kuhusu sakata la GwajimaMaaskofu kutoka madhehebu mbali mbali ya Kikristo nchini Tanzania wanakusudia kuonana na mkuu wa jeshi la polisi IGP Ernest Mangu, ili kupata suluhu kuhusu sakata linalomkabili mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima, askofu Joseph… Read More
BantuTz MAGAZETINI:SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA KURASA ZA MAGAZETI MBALIMBALI YA LEO MACHI 31,2015. BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa k… Read More
BantuTz MAGAZETINI:SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA KURASA ZA MAGAZETI YOTE YA LEO APRIL 1,2014. BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa k… Read More
0 comments:
Post a Comment