Facebook

Tuesday 22 September 2015

Hector Bellerin kusalia Arsenal licha ya kuwindwa na Barcelona,

Mchezaji Hector Bellerin amebainisha kiu yake ya kuendelea kubaki Arsenal kwa muda mrefu.
Beki huyo alijiunga na Gunners akitoka timu ya vijana ya Barcelona La Masia mwaka 2011, na amefuta dhana ya kumfuata mchezaji mwenzake aliyepita Arsenal , Cesc Fabregas aliyerudi Nou Camp kwa muda mchache kabla ya kurudi Premier League na Chelsea.

0 comments:

Post a Comment