Tuesday, 22 September 2015
Hector Bellerin kusalia Arsenal licha ya kuwindwa na Barcelona,
Beki huyo alijiunga na Gunners akitoka timu ya vijana ya Barcelona La Masia mwaka 2011, na amefuta dhana ya kumfuata mchezaji mwenzake aliyepita Arsenal , Cesc Fabregas aliyerudi Nou Camp kwa muda mchache kabla ya kurudi Premier League na Chelsea.
0 comments:
Post a Comment