Facebook

Tuesday 22 September 2015

Msanii Emmanuel Mbasha apiga magoti akilia baaada ya kuachiwa huru katika kesi ya Ubakaji.

Msanii wa muziki wa Injili, Emanuel Mbasha akiwa amepiga magoti akilia hapo jana baada ya kuachiwa huru katika kesi ya ubakaji iliyokuwa inamkabili kwenye mahakama ya wilaya ya ilala.

0 comments:

Post a Comment