Facebook

Saturday, 19 September 2015

Bacary Sagna aeleza sababu ya kunyoa rasta zake.

Bacary Sagna alikua anatambulika kirahisi kwa rasta zake ambazo zilikua na rangi. Sasa akiwa kwenye mapumziko ya likizo baada ya msimu uliopita alinyoa rasta zake na picha yake kusambaa sana kwenye mtandao ya kijamii.

Sasa akiwa kwenye kipindi cha maswali na majibu katika Manchester City Tv, moja ya swali lililoulizwa na mashabiki wengi ni kuhusu kwanini amenyoa rasta zake.

Jibu lake ni kwamba yeye binafsi alikua na mpango wa kuzinyoa muda wowote, lakini sababu ya msingi iliyomfanya anyoe zile rasta ni sherehe ya asili aliyoshiriki kwao Senegal ambayo ilikua lazima anyoe nywere zake.

Related Posts:

  • CIARA AFUTA TATOO YA FUTURECiara amehakikisha kuwa tatoo iliyokuwa na herufi N ikimaanisha Neyvadius jina la aliyekuwa mpenzi wake rapper Future umefutwa kabisa na kuanza maisha mapya kabisa.Picha za hivi karibuni zimeonesha Ciara akiwa amefuta kila ai… Read More
  • Diamond na Idris waalikwa Ikulu na Rais Kikwete. Rais Kikwete leo amekutana na mwanamuziki Diamond Platinumz na mshindi wa shindano la Big Brother Africa Idris Sultan na juwapongeza kwa ushindi walioupata recently huko Afrika Kusini. JK amempongeza Diamo… Read More
  • Mwanamume ajibandika urembo kufanana na Kim Kardashian.   Sura huonekana katika baadhi ya majarida maarufu duniani, ana kipindi chake maalum kuhusu maisha yake na familia yake, ana kampuni ya vipodozi na pia ana mamilioni ya dola kwenye akauti zake za benki. Si mwingine bal… Read More
  • Kampuni ya Sony yamfurahisha Rais Obama.   Rais wa Marekani amelipokea kwa furaha tangazo la kampuni ya Sony kuamua kuonyesha filamu ya kuchekesha yenye utata 'The Interview Filamu hiyo itaoneshwa katika baadhi tu ya kumbi za sinema nchini Marekani mnamo siku… Read More
  • Afya ya Muhammad Ali yazidi kuimarika.   Msemaji wa nguli wa zamani wa masumbwi Muhammad Ali amedai kuwa hali ya bondia huyo inaendelea vyema toka alazwe hospitalini hapo kwa maradhi ya maambukizi katika mapafu. Msemaji Bob Gunnell amesema madaktari wanao… Read More

0 comments:

Post a Comment