Wapelelezi waliokuwa wakilitafuta gari moja aina la Lexus lililoibwa mjini London nchini Uingereza wamelipata nchini Uganda.
Gari hilo lilikuwa na kifaa kinachoonyesha liliko.
Walipolipata nchini Uganda ,lilikuwa miongoni mwa magari 28 ya kifahari kutoka Uingereza yenye thamani ya zaidi ya pauni milioni moja,kulingana na gazeti la Metro nchini Uingereza.
Inadaiwa kuwa wezi hao walibadilisha mfumo wa kutumia funguo ya kuyawasha magari hayo.
Thursday, 24 September 2015
Magari yalioibwa Uingereza yapatikana Uganda
Related Posts:
Kumbe ile meli iliyosadikika kuzama Ziwa Zictoria haikuzama,bali shehena ilipakuliwa na kuuzwa kenya kisha kuzamishwa................soma hapa................... Ile meli iliyotangazwa imezama katika ziwa Victoria na tani 280 ya sukari siyo kweli. haikuzama ila umefanyika wizi na mmiliki wa meli hiyo Kitana Chacha wa Mwanza ambaye ikiwa njiani zilikuja boti kadha kuto… Read More
Ndugu wanaoshirikiana kula nyama za watu wakamatwa............fuatilia hapa................... Watu wawili wanaotuhumiwa kula nyama za binadamu wamekamatwa baada ya kichwa cha mtoto wa miaka mitatu, kukutwa katika nyumba wanayoishi nchini Pakistan.Polisi waligundua tukio hilo la kutisha na kuwakamata watuh… Read More
Nahodha wa meli iliyozama Korea kusini atiwa mbaroni leo hii..............fuatilia hapa............. Nahodha wa kivuko cha Korea Kusini kilichozama na kusababisha watu zaidi ya 300 kutojulikana walipo amekamatwa Jumamosi (19.04.2014) kwa tuhuma za uzembe na kuwatelekeza watu waliokuwa kwenye shida ya kuhitaji ms… Read More
Baada ya manusura kutokuonekana,ndugu wapambana na Polisi,korea kusini....soma hapa...... Ndugu wa baadhi ya waathiriwa 250 wa ajali ya Ferry nchini Korea Kusini ambao bado hawajapatikana, wamekabiliana na polisi. ndugu hao wanalalamikia kile wanachosema ni kujikokota kwa waokozi … Read More
Makalio madogo yawa kikwazo Venezuela...........fuatilia hapa........... Wanawake nchini Venezuela wanatumia kemikali haramu kuongeza ukubwa wa makalioyao na kujiletea madhara makubw… Read More
0 comments:
Post a Comment