Mgombea urais wa vyama vinavyounda UKAWA Mh Edwad Lowassa amesema akichaguliwa kuwa Rais atahakikisha kuwa kipaumbele cha elimu pia kinatolewa kwa wakulima wafugaji na makundi mengine hatua itakayowawezesha kutekeleza majukumu yao kwa tija na kupokea teknolojia za kisasa.
Friday, 18 September 2015
Lowassa aahidi kuweka kipaumbele katika utoaji wa Elimu ya Kilimo.
Related Posts:
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika magazeti yote ya leo Ijumaa,Juni 05 MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata habari nuhimu… Read More
Makamu wa Rais Dkt. Bilal achukua fomu za kuwania urais 2015 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisani moja ya fomu za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati alipofika Makao Makuu ya CCM mkoani Dodoma leo … Read More
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika magazeti yote ya leo Jumamosi,Juni 06 MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata hab… Read More
Lowassa ahairisha kuchukua fomu ya kugombea UraisMbunge wa Monduli ambaye aliwahi kuwa Waziri mkuu wa Tanzania Edward Lowassa amaeahirisha kuchukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi hadi siku ya kesho ambayo ni alhamisi. Hadi sasa mwanasiasa a… Read More
Muigizaji mkongwe Mzee Jangala kutangaza nia ya kugombea Uraisi 2015Mkongwe wa filamu hapa nchini, Bakari Mbelemba maarafu kwa jina la Mzee Jangala ameweka wazi kua atatumia tamasha la ngoma za asili kutangaza nia yake ya kugombea uraisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Tamasha hilo amab… Read More
0 comments:
Post a Comment