Scott Walker, ambaye ni miongoni wagombea waliokuwa wakiwania kuteuliwa kugombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican amejiondoa kutoka kwa kinyanganyiro hicho.
Bwana Walker ambaye alikuwa gavana wa jimbo la Winscosin amesema amejitoa kutoka kampeini hizo ili kutoa nafasi kwa uteuzi wa mgombea muafaka atakayekabiliana na Donulkd Trump.
Mgombea huyo, ambaye alikuwa akiungwa mkono kwa wingi na wafuasi wa mrengo wa kulia, lakini hata hivyo katika kura ya maoni kiwango chake kilishuka baada ya kufanya vibaya katika midahalo. Scott Walker, mmojawapo wa wagombea watarajiwa wa urais kwa tiketi ya chama cha Republican amejiondoa kutoka kwa kinyanganyiro hicho.
Bwana Walker ambaye alikuwa gavana wa jimbo la Winscosin amesema amejitoa kutoka kampeini hizo ili kutoa nafasi kwa uteuzi wa mgombea muafaka atakayekabiliana na Donulkd Trump.
Mgombea huyo, ambaye alikuwa akiungwa mkono kwa wingi na wafuasi wa mrengo wa kulia, lakini hata hivyo katika kura ya maoni kiwango chake kilishuka baada ya kufanya vibaya katika midahalo.
Tuesday, 22 September 2015
Mgombea Urais ajitoa katika kinyanganyiro baada ya kufanya vibaya katika midahalo
Related Posts:
Wapalestina wengi wazidi kuawa Gaza Mmoja kati ya majeruhi wa mapigano eneo la Gaza Kumetokea vifo vingi katika eneo la Gaza kwa siku moja tangu kuanza kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Palestina mapema mwezi huu. Wapalestina zaidi ya sitini kati y… Read More
Ndege nyingine yadondoka yaua zaidi ya watu 40 Taiwan. Ndege ya Abiria ya Kampuni ya Trans Asia ya Taiwan imedondoka wakati ikijaribu kutua kwa dharura na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 40… Read More
Daktari wa Ebola apata maambukizi Sierra Leone. Daktari anayeongoza vita dhidi ya ugonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone ameambukizwa virusi hivyo na sasa anatibiwa, imesema taarifa kutoka ikulu. Vipimo kwa Sheik Umar Khan vilionesha ana virusi hivyo na amelazwa k… Read More
Shambulio katika kikosi cha Kumlinda Rais wa DRC lashundikana. Shambulio katika kambi ya jeshi ya kikosi cha kumlinda rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo limezuiwa, kwa mujibu wa maafisa wa serikali. Hali imerejea kuwa ya utulivu na kundi dogo la "waliojipenyeza" limezid… Read More
Mbunge na Mwanamuziki maarufu Somalia apigwa risasi na kufariki. Mwanamuziki maarufu ambaye pia ni Mbunge nchini Somalia, Saado Ali Warsame amepigwa risasi na kufa na wanamgambo. Aliuawa pamoja na mlinzi wake, katika shambulio la kutumia gari mjini Mogadishu. Msemaji wa kundi … Read More
Tutafika tu
ReplyDelete