Saturday, 26 April 2014
Je !!! Unakijua alichokisema mpiga picha wa Diamond.........fuatilia hapa.....
"Siku zote napenda kujifunza vitu vipya,nisivyovifahm kuhakikisha navifahamu.
na kwa kila hatua ya ufahamu ninayoipiga sisahau kumkumbuka Diamond,mtu ambaye siku zote amekuwa akinitia moyo na kuwa naweza ,kutonikatisha tamaa ninaposhindwa ndiyo kumenifanya .sijasoma upigaj picha,leo ni mpiga picha wake mzuri kwa sababu yake..yeye ndie kanishape siku zote amekuwa akiniambia..HAKUNA ALOZALIWA ANAWEZA,sijasoma graphics,sikuwa nafaham chochote leo japo sijabobea but i can do anythn concerning graphics,iwe matangazo,iwe poster, ama kugeuza picha kuwa vile nitakavyo ONA PIC JUU.. KAMA HIYO...yote ni sababu yake.
He is ma best boss of all time"
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata fununu na habari mbalimbali zinazowahusu wasanii
Related Posts:
Hivi ndivyo alivyo pokelewa msanii Diamond Platnumz asubuhi ya jana, baada ya kuwasili kutoka nchini Marekani kwenye TUZO za Afrimma.… Read More
Bingwa wa Jumuiya ya madola atangaza kustaafu. Aliyekuwa Bingwa wa Jumuiya ya madola katika shindano la uogeleaji mita 50 Butterfly, Mkenya Jason Dunford ametangaza kuwa atastaafu rasmi baada ya mashindano ya mwaka huu. Akiongea baada ya k… Read More
Celebrities ugly with beautiful children in 20 images Discover this curious collection of images that Cultural UP us “lucky kids”. And you know, the question of genetics is very whimsical and seeing the facial features of their parents, we can say without do… Read More
Angalia hapa hapa jinsi mastaa 20 wa Movie walivyo zeeka Vibaya! 1.Steven Segal 2.Kirstie Alley 3.Nick Nolte 4.Mickey Rourke 5.Sharon Stone 6.Val Kilmer 7.Al Pacino 8.Brigitte Nielson… Read More
18 images of Eccentricities Billionaires in Dubai Located in the famous Arabian Desert, on the beautiful shores of the Persian Gulf is Dubai; perhaps the most famous (with permission from Abu Dhabi) of the seven regions that make up the United Arab Emirates (UAE… Read More
0 comments:
Post a Comment