Dubai ni nchi mojawapo inayopatikana bara la Asia ndani ya umoja wa falme za kiarabu(UAE).
Kilichonivutia
zaidi kuandika thread hii ni kutokana na mambo makubwa ya ajabu
yanayofanywa na serikali hii kupitia utajiri wake ambayo ama hayajawahi
fanywa na serikali ya nchi yoyote ile au hayapo kabisa kokote kule ila
Dubai peke yake.Na lengo kuu la serikali ya nchi ya dubai lipo katika
kukuza utalii wa ndani ya nchi lakini vilevile kutengeneza vyanzo vya
mapato vikuu zaidi ya kubakia kutegemea biashara ya mafuta.
Nitajitaeleza kwa kifupi katika yale ambayo mimi nimeona ni maajabu yaliyofanywa na nchi hii na kuvunja rekodi ya dunia.
1. Burj Khalifa
Hili ni jengo linalipatikana ndani ya nchi ya dubai, limevunja rekodi ya kuwa kitu chenye urefu zaidi kuliko chochote duniani kilichojengwa na binadamu(the tallest man made structure in the world), jengo hili lina urefu wa mita zinazofikia 830. Jengo hili.lina ghorofa zinazofikia 163 hiyo ni bila huhesabu parking za magari na floor nyingine ambazo tunaziita maintanance floor. Jengo lililokuwa refu zaidi kabla ya hili lilikua ni lile la world trade centre ambalo lilikua na ghorofa 110, kama mnakumbuka hili jengo halipo tena kwani lililipuliwa na magaidi tarehe 11/09/2001.
Hili ni jengo linalipatikana ndani ya nchi ya dubai, limevunja rekodi ya kuwa kitu chenye urefu zaidi kuliko chochote duniani kilichojengwa na binadamu(the tallest man made structure in the world), jengo hili lina urefu wa mita zinazofikia 830. Jengo hili.lina ghorofa zinazofikia 163 hiyo ni bila huhesabu parking za magari na floor nyingine ambazo tunaziita maintanance floor. Jengo lililokuwa refu zaidi kabla ya hili lilikua ni lile la world trade centre ambalo lilikua na ghorofa 110, kama mnakumbuka hili jengo halipo tena kwani lililipuliwa na magaidi tarehe 11/09/2001.
Jengo hili ni refu sana kiasi kwa
sehemu yake ya juu kabisa kwa kipindi fulani hufunikwa na mawingu. jengo
hili liliigharimu serikali kiasi cha dola billioni 1.5. ni jengo lenye
mjumuiko wa nyumba za kuishi, hoteli, supermarkets, shops.na ofisi

2. The Palm Islands
Hivi ni visiwa vya kutengenezwa vilivyopo dubai, visiwa hivi vimejengwa na kutengeneza umbo la mti wa mnazi, kisiwa hiki kimejengwa kwenye kina kirefu cha maji kiliunganishwa na man made peninsula yenye urefu wa kilometa nne. Kisiwa hiki kimejengwa kwa kutumia mawe makubwa yaliyotupiwa majini pamoja.na kiasi kikubwa sana cha mchanga, baada ya kukamilisha ujenzi wa kisiwa hicho juu yake zilijengwa nyumba za makazi za kuishi(residential houses) ambazo ziliuzwa kwa watu kwa gharama kubwa sana, na inasemekeana David Bekham ni mmoja wa wamiliki wa moja ya nyumba hizo. pia ndani ya kisiwa hicho kuna mahoteli makubwa, maghorofa pamoja na sehemu nyingi za starehe, na ni sehem inayowavutia sana watalii, kisiwa hiki kilijengwa kwa muda wa miaka5. na kiliigharimu serikali kiasi cha takribani dolla 12 billioni. Visiwa hivi vinaonekana vizuri hata ukiwa juu sana angani.


Hivi ni visiwa vya kutengenezwa vilivyopo dubai, visiwa hivi vimejengwa na kutengeneza umbo la mti wa mnazi, kisiwa hiki kimejengwa kwenye kina kirefu cha maji kiliunganishwa na man made peninsula yenye urefu wa kilometa nne. Kisiwa hiki kimejengwa kwa kutumia mawe makubwa yaliyotupiwa majini pamoja.na kiasi kikubwa sana cha mchanga, baada ya kukamilisha ujenzi wa kisiwa hicho juu yake zilijengwa nyumba za makazi za kuishi(residential houses) ambazo ziliuzwa kwa watu kwa gharama kubwa sana, na inasemekeana David Bekham ni mmoja wa wamiliki wa moja ya nyumba hizo. pia ndani ya kisiwa hicho kuna mahoteli makubwa, maghorofa pamoja na sehemu nyingi za starehe, na ni sehem inayowavutia sana watalii, kisiwa hiki kilijengwa kwa muda wa miaka5. na kiliigharimu serikali kiasi cha takribani dolla 12 billioni. Visiwa hivi vinaonekana vizuri hata ukiwa juu sana angani.
3.The Dubai Mall
Hii ni.muunganiko wa majengo yanayounda sehemu moja ya biashara kama vile pale mlimani city dar es salaam, hii ndiyo sehemu ya kibiashara na manunuzi kubwa kuliko zote duniani( the dubai mall is the world largest shopping mall), dubai shoping mall ina ukubwa unaolingana na viwanja 50 vya mpira wa miguu, ina maduka na huduma nyingine zinazokadiriwa kupita 1200, ina car parking zaidi ya 14000.

Hii ni.muunganiko wa majengo yanayounda sehemu moja ya biashara kama vile pale mlimani city dar es salaam, hii ndiyo sehemu ya kibiashara na manunuzi kubwa kuliko zote duniani( the dubai mall is the world largest shopping mall), dubai shoping mall ina ukubwa unaolingana na viwanja 50 vya mpira wa miguu, ina maduka na huduma nyingine zinazokadiriwa kupita 1200, ina car parking zaidi ya 14000.
Dubai Aquarium
Ina sehemu ya kuhifadhia viumbe wa majini iliyojengwa kwa vioo kwa ajili ya maonyesho kubwa kuliko zote duniani, kwani ujazo wa maji ndani ya contena hilo ni.lita millioni 10 na inahifadhi viumbe wa majini wanaokadiriwa kufikia 33000 ikiwa ni samaki aina mbalimbali na papa. Ndiyo sehemu ya manunuzi na biashara inayotembelewa na watu wengi zaidi kuliko yoyote ile duniani, kwa mfano ndani ya mwaka mmoja baada ya kufunguliwa ilivunja rekodi ya kutembelewa na watu millioni 37, na hutembelewa na wageni 750000 kila wiki.

Ina sehemu ya kuhifadhia viumbe wa majini iliyojengwa kwa vioo kwa ajili ya maonyesho kubwa kuliko zote duniani, kwani ujazo wa maji ndani ya contena hilo ni.lita millioni 10 na inahifadhi viumbe wa majini wanaokadiriwa kufikia 33000 ikiwa ni samaki aina mbalimbali na papa. Ndiyo sehemu ya manunuzi na biashara inayotembelewa na watu wengi zaidi kuliko yoyote ile duniani, kwa mfano ndani ya mwaka mmoja baada ya kufunguliwa ilivunja rekodi ya kutembelewa na watu millioni 37, na hutembelewa na wageni 750000 kila wiki.
4. Dubai Police cars
Dubai imevunja rekodi ya kuwa nchi ya kwanza duniani kwa polisi wake kutumia gari za gharama zaidi katika shughuli zao za kipolisi na usalama wa kiujumla, polisi wa dubai wanatumia gari aina ya Lamborgin, Bughatti, Ferrari, Astoni Martini, na nyingine nyingi za kifahari, gharama ya magari hayo kila moja kama inavyofahamika ni kati.ya shilingi billioni moja hadi tatu. inasemekana kwamba baadhi wa wakazi wa dubai huwalazimisha polisi wawakamate ili tu watu hao waweze kupanda gari.hizo.
Dubai imevunja rekodi ya kuwa nchi ya kwanza duniani kwa polisi wake kutumia gari za gharama zaidi katika shughuli zao za kipolisi na usalama wa kiujumla, polisi wa dubai wanatumia gari aina ya Lamborgin, Bughatti, Ferrari, Astoni Martini, na nyingine nyingi za kifahari, gharama ya magari hayo kila moja kama inavyofahamika ni kati.ya shilingi billioni moja hadi tatu. inasemekana kwamba baadhi wa wakazi wa dubai huwalazimisha polisi wawakamate ili tu watu hao waweze kupanda gari.hizo.

Vitu vingine ni kama hvi hapa chini...........................................................
Yapo mengi ila kwa leo niishie hapakama unapenda kufahamu
mambo mbalimbali kuhusu vitu usivyotarajia uewpo wake duniani endelea
kutembelea katemimethsela.blogspot.com kufahamu maajabu mbalimbali
yaliyopo duniani..............
0 comments:
Post a Comment