Saturday, 26 April 2014
Halima Kimwana:Nipo tayari kufa kwa ajili ya Diamond"..........
DADA wa hiyari wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Halima Kimwana amejichora tatuu ya jina la staa huyo na kudai anampenda na yupo tayari kufa kwa ajili yake.
Alisema ukaribu wake ni wa kawaida lakini yupo tayari kufa badala yake (Diamond).
“Nipo tayari kufa kwa ajili ya Diamond, nimechora tatuu ya jina lake mkononi kuonesha msisitizo, namkubali” alisema Halima.
Related Posts:
Hizi ndizo sifa za mwanaume anaemtaka Lady Jay Dee kwa sasa Anaejali na kuheshimu, mwenye roho ya upendo na huruma, anaeweza ku take care of me financially.Asiechepuka hovyo (Milupo kila kona ),Asiwe tegemezi.Hata kama sio tajiri lakini asinitegemee.Asiwe mlevi ku… Read More
Orodha yote ya Washindi wa tuzo za Oscar 2015 hii hapa Sherehe za utoaji wa Tuzo za 87 za Oscar zimemalizika usiku wa kuamkia leo kutoka Los Angeles, Marekani na washindi tayari wamepatikana. Orodha yote nimekusogezea hapa. Hii ndiyo orodha nzima ya washindi. … Read More
Chege akanusha kuvaa hirizi Stejini. Msanii Chege Chigunda kutoka katika kundi la Wanaume Family amekanusha tetesi zinazozagaa mitaani juu ya picha yake ambayo inaonekana amevaa kitu kama hirizi katika mkono wake wa kushoto na kusema kuwa siyo hirizi bal… Read More
Download New Music: 2face Idibia - African Queen 'Remix' Kutoka Nigeria ngoma ya Afrika Queen imefanikiwa kutengenezwa remix mara kwa mara na wasanii mbali mbali kutokana na ladha ipatikanayo kwenye wimbo huo. Bofya hapa ku Download New Music: 2face Idibia - Africa… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 23 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa ka… Read More
0 comments:
Post a Comment