Saturday, 26 April 2014
Halima Kimwana:Nipo tayari kufa kwa ajili ya Diamond"..........
DADA wa hiyari wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Halima Kimwana amejichora tatuu ya jina la staa huyo na kudai anampenda na yupo tayari kufa kwa ajili yake.
Alisema ukaribu wake ni wa kawaida lakini yupo tayari kufa badala yake (Diamond).
“Nipo tayari kufa kwa ajili ya Diamond, nimechora tatuu ya jina lake mkononi kuonesha msisitizo, namkubali” alisema Halima.
Related Posts:
Msanii Mezzy B afariki dunia Taarifa tulizozipata BantuTz kutoka Dodoma hivi punde zinasema kuwa Mwanamuziki Moses Bushangama maarufu kama Mez B amefariki dunia. Mez B alikuwa mmoja wa wanamziki wanaounda kundi la Chamber squard.Alikuwa anaumwa sa… Read More
Davido asema ana maadui wengi ambao wanataka kumshusha kutoka kwenye mafanikio aliyo nayo Kupitia Twitter Davido ameandika “I got enemies, I got a lotta enemies Got a lotta people tryna drain me of my energy.” Hii si mara ya kwanza kwa Davido kulalamika kupitia Twitter juu ya watu ambao hawamtakii kheri, au a… Read More
Hatimaye Diamond atoa sababu za kushindwa kuhudhuria msiba wa baba yake Dully, Ebby Sykes Diamond ambaye wakati msiba huo unatokea alikuwa Zanzibar na mpenzi wake Zari, ameelezea sababu zilizomfanya kushindwa kuhudhuria mazishi. “Watu waliniona niko zanzibar lakini walikuwa hawajui nimeenda kufanya nini,… Read More
Diamond Platnumz aongea maneno mazito kuhusiana na sakata la Mauaji ya Albino. Kupitia Ukurasa wake wa FACEBOOK Diamond Plutnumz amepost picha hiyo hapo juu na maneno haya hapa chini. "Ndugu zangu! nafkiri ni Muda wa kubadilika sasa...Tuacheni fikra potofu, za Kipuuzi na ukatili Usio na Maa… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 21 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa ka… Read More
0 comments:
Post a Comment