Facebook

Sunday 22 March 2015

BAADA YA ZITTO KABWE,AFANDE SELE NAE AJIUNGA RASMI ACT TANZANIA.

Baada ya hapo jana aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA Zitto Zubery Kabwe kuhamia chama cha ACT TANZANIA.

Leo hii aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA, msanii maarufu na Mfalme wa Rhymes Tanzania Afande Sele amehama rasmi CHADEMA na kuamua kuungana na Zitto Kabwe baada ya kutangaza rasmi kujiunga na chama cha ACT TANZANIA.

0 comments:

Post a Comment