Facebook

Monday 30 March 2015

Mchungaji Gwajima aondolewa chumba cha Wagonjwa mahututi.

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima
aondolewa katika chumba cha uangalizi Maalum (ICU) TMJ baada ya
kupata nafuu na hali yake kuendelea vizuri.

0 comments:

Post a Comment