Facebook

Tuesday 31 March 2015

Viongozi CECAFA wamuunga Mkono Blatter

Rais wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati
(CECAFA), Leodegar Tenga amesema Rais wa Shirikisho la Soka
Ulimwenguni FIFA, Sepp Blatter amepewa nafasi na viongozi wa Soka
Barani Afrika katika kushinda Uchaguzi Mkuu wa FIFA.

0 comments:

Post a Comment