Rais wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati
(CECAFA), Leodegar Tenga amesema Rais wa Shirikisho la Soka
Ulimwenguni FIFA, Sepp Blatter amepewa nafasi na viongozi wa Soka
Barani Afrika katika kushinda Uchaguzi Mkuu wa FIFA.
Tuesday, 31 March 2015
Viongozi CECAFA wamuunga Mkono Blatter
Related Posts:
"Van Persie Nahodha Mpya Man Utd" "Manchester United imeondokewa na manahodha 3 kwa wakati mmoja(Vidic,Rio na Evra). Kwa sasa ni vigumu kupata nahodha atakayeishawishi klabu pamoja na wachezaji. Lakini Robin Van Persie anafaa kuwa nahodha wa M… Read More
CAF yamuadhibu Kocha wa Kenya Kocha Adel atakosa mechi kwa mwaka mmoja Katibu wa shirikisho la kandanda la Kenya, FKF, Mike Esakwa amemtetea kocha wa timu ya raifa ya Kenya dhidi ya tuhuma za kukosa maadili. Shirikisho linalosimamia soka Afrika… Read More
Mfahamu kinda wa Arsenal anayeng'ara mechi za maandalizi ya msimu. Huyu ndiye kinda Kristoffer Olsson, mfungaji wa bao la kwanza huku la pili likiwekwa nyavuni na kinda jingine Benik Afobe – kipindi cha pili kuhakikisha Arsenal wanaanza mwchi za maandalizi kwa ushindi. Arsene… Read More
Chelsea walipomkaba mchezaji mnene zaidi duniani JUMAMOSI jioni, John Terry aliwaongoza mabeki wa Chelsea kukabiliana na mchezaji mnene na mwenye nguvu zaidi duniani, Saheed Adebayo Akinfenwa ambaye umbo lake linaleta kichekesho kikubwa kwa mashabiki wa soka. … Read More
Shaw,Herrera na Januzaj wapewa namba za Jezi Man Utd. JANUZAJ 11 HERRERA 21 SHAW 3 Adnan Januzaj inasemekana ndiye mrithi wa jezi ya Ryan Giggs. Luke Shaw nae inasemekana ndiye mrithi wa jezi ya Patrice Evra. Ander Herrera inasemekana amechagua jezi namba 21. … Read More
0 comments:
Post a Comment