Facebook

Tuesday 31 March 2015

Mchungaji Gwajima "Bastola iliyokamatwa ni yangu na nina imiliki kihalali.

Kuhusu wafuasi wake kukamatwa na bastola, Mchungaji Gwajima
amesema bastola hiyo ni mali yake halali anayoimiliki.

"Usiku wasiwasi ulizidi, huku kila mmoja akiwa hafahamu kwa nini ujumbe ule wa kuwa mimi nimefariki unasambazwa kwenye mitandao,
msambazaji ni nani, ana nia gani, ndio nikaamua kuwaagiza waniletee silaha yangu iliyokuwa kwenye begi ili likitokea lolote niweze kujilinda.
Ile bastola ni yangu na ninaimilki kihalali, hata nyaraka zake lakini ninawashangaa polisi hawajaja kuniuliza wala kuniomba document
zake”

Una lipi la kumwambia Gwajima .

0 comments:

Post a Comment