Afisa Mtendaji MKuu wa Mamlaka ya Usajili, Ufilisi na Udhamini
(RITA) Phillip Saliboko amefikishwa mahakamani kwa kupokea fedha
kiasi cha shilingi milioni 40, zilizochotwa kutoka akaunti ya Tegeta Escrow.
Saturday, 28 March 2015
SAKATA LA ESCROW LAMBURUZA KIGOGO WA RITA MAHAKAMANI.
Related Posts:
MBUNGE NIMROD MKONO ANUSURIKA KIFO BAADA YA KULISHWA SUMU MYSTERY: -He says he was warned before flying out to the United Kingdom that he should be careful -The prominent lawyer and politician fell ill suddenly during a parliamentary trip to London and his doctors said he h… Read More
Tazama picha mbalimbali zinazomuonyesha Waziri Membe akiwa katika mahafali ya kuwatunuku wahitimu wa Chio Kikuu cha Kampala-KIU Tanzania leo hii!Rais mstaafu wa awamu ya pili ndugu Hassan Mwinyi akiwa pamoja na waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh.Bernard Kamillius Membe katika mahafali ya chuo kikuu cha kimataifa Kampala kampasi ya Dar es salaam leo … Read More
Ukawa wafichua njama za kuizima IPTL bungeni Dodoma. Wakati kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ikianza kupitia ripoti ya IPTL kuhusu uchunguzi wa ufisadi katika Akaunti ya Tegeta Escrow, wabunge wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umedai kwamba kuna mik… Read More
Mh.Kagasheki amlipua Wazir Mkuu,Mizengo Pinda.Mbunge Bukoba Mjini,Khamis Kagasheki baada ya kutoa maoni yake mbalimbali kuhusiana na sakata la Ufisadi lililoikumba serikali,Huku Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Pinda akinyooshewa kidole. Hivi punde katika ukurasa wake wa Twit… Read More
KUNA GHARAMA KUBWA SANA KWA CHAMA CHA MAPINDUZI KUJA KUMSAFISHA MIZENGO PINDA, Tangu mwaka 2008 kumekuwepo na vipindi vingi vya mpito kwa watanzania kupoteza imaan na watendaji wao wa serekali, hii na inatokana na mtendaji mkuu serekalini na msimamizi wa shughuli za kiserekali bungeni kukosa mwelekeo (F… Read More
0 comments:
Post a Comment