Facebook

Saturday 28 March 2015

SAKATA LA ESCROW LAMBURUZA KIGOGO WA RITA MAHAKAMANI.


Afisa Mtendaji MKuu wa Mamlaka ya Usajili, Ufilisi na Udhamini
(RITA) Phillip Saliboko amefikishwa mahakamani kwa kupokea fedha
kiasi cha shilingi milioni 40, zilizochotwa kutoka akaunti ya Tegeta Escrow.

0 comments:

Post a Comment