Facebook

Tuesday 31 March 2015

Mapacha watatu waja na mabadiliko


Kutoka kundi la Mapacha Watatu, Msanii wa Muziki Khaleed Chokoraa ameeleza kurejea na mabadiliko makubwa
katika muziki wao wa dansi.Mabadiliko hayo makubwa ikiwepo
kupunguza kutaja majina ya watu na vilevile urefu wa nyimbo
kinyume na vile ilivyokuwa imezoeleka katika nyimbo nyingi za dansi
hapa nchini.

0 comments:

Post a Comment