Kutoka kundi la Mapacha Watatu, Msanii wa Muziki Khaleed Chokoraa ameeleza kurejea na mabadiliko makubwa
katika muziki wao wa dansi.Mabadiliko hayo makubwa ikiwepo
kupunguza kutaja majina ya watu na vilevile urefu wa nyimbo
kinyume na vile ilivyokuwa imezoeleka katika nyimbo nyingi za dansi
hapa nchini.
Tuesday, 31 March 2015
Mapacha watatu waja na mabadiliko
Related Posts:
SHAMSA FORD-MNANIBOA MNAOTOA R.I.P AMTOKEI MSIBANI Msanii wa maigizo nchini hakuwa nyuma na yeye kutoa dukuduku lake kwa wale wasanii ambao hawapendi kuhudhuria misibani.Na hiki ndicho alichosema "Morning my people..samahani kama nitakuwa nawakwaza but sometimes ni … Read More
MO FARAH AVUNJA REKODI 'BIRMINGHAM INDOOR GRAND PRIX' Mwanariadha raia wa Uingereza mwenye asili ya Somalia Mo Farah ameweka rekodi mpya katika mashindano ya ndani ya Birmingham Grand Prix, ya umbali wa Maili 2 sawa na kilomita 3.22. Farah mwenye umri wa miaka 31 ametumia… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 21 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa ka… Read More
Millard Ayo apiga hatua kubwa sana,Afungua studio yake ya Radio Katika maisha mwanadamu yoyote yule anapigana ili kujiletea maendeleo yake yeye mwenyewe na kwa nchi kiujumla. Maendeleo anayoyapiga kijana wa kipekee sana ambaye amekuwa mfano wa kuigwa katika jamii,Mtangazaji wa Clouds … Read More
Tanzia:Aliyekuwa mchezaji nguli wa Simba Sc Christopher Alex afariki dunia. Taarifa zilizotufikia BantuTz.com hivi punde kutoka mkoani Dodoma ni kwamba Mwamba umeanguka na nuru imetoeka.Ni baada ya aliyekuwa kiungo mahiri wa timu ya taifa mpira wa miguu Tanzania na vilabu vya Reli na Simba SC… Read More
0 comments:
Post a Comment