Facebook

Sunday, 1 March 2015

HENRY: KUINOA ARSENAL NI KUTIMIZA NDOTO, LAKINI NINAMENGI NAPASWA KUJIFUNZA KABLA YA KUMRITHI WENGER.

"HENRY: KUINOA ARSENAL NI KUTIMIZA NDOTO, LAKINI NINAMENGI  NAPASWA  KUJIFUNZA KABLA YA KUMRITHI WENGER.

Thierry Henry miongoni mwa shujaa aliyewahi kutokea katika klabu ya Arsenal "The Gunners" ameripotiwa akisema kuwa kuifundisha klabu ya Arsenal katika siku za usoni ni kutimiza ndoto yake ila amesisitiza anapaswa kujifunza mambo mengi kabla ya kuichukua mikoba ya Mzee wenger.

Henry ni kinara wa mabao wa klabu ya Arsenal tokea kuanzishwa kwa klabu hiyo, amepachika mabao 228 mengi kuwahi kufungwa na mchezaji mwengine zaid yake.

Klabu ya Arsenal imekumbwa na uhaba wa kutwaa mataji makubwa kama vile ligi kuu Uingereza. michuano ya klabu bingwa ulaya, EUROPA league, Capital one ukiondoa FA ambalo wamelitwaa msimu uliopita-UNADHANI IKITOKEA HENRY AMERITHI MIKOBA YA MZEE WENGER NDIYO SULUHU YA UKAME WA MATAJI MAKUBWA ITAKUWA IMEPATIKANA ?

Maoni na mtazamo wako wewe mdau wa soka unahitajika."

Thierry Henry miongoni mwa shujaa aliyewahi kutokea katika klabu ya Arsenal "The Gunners" ameripotiwa akisema kuwa kuifundisha klabu ya Arsenal katika siku za usoni ni kutimiza ndoto yake ila amesisitiza anapaswa kujifunza mambo mengi kabla ya kuichukua mikoba ya Mzee wenger.
Henry ni kinara wa mabao wa klabu ya Arsenal tokea kuanzishwa kwa klabu hiyo, amepachika mabao 228 mengi kuwahi kufungwa na mchezaji mwengine zaid yake.

Klabu ya Arsenal imekumbwa na uhaba wa kutwaa mataji makubwa kama vile ligi kuu Uingereza. michuano ya klabu bingwa ulaya, EUROPA league, Capital one ukiondoa FA ambalo wamelitwaa msimu uliopita-

UNADHANI IKITOKEA HENRY AMERITHI MIKOBA YA MZEE WENGER NDIYO SULUHU YA UKAME WA MATAJI MAKUBWA ITAKUWA IMEPATIKANA ?

Maoni na mtazamo wako wewe mdau wa soka unahitajika.

Related Posts:

  • Hazard akataa kulinganishwa na Messi Eden Hazard amesema ana nia ya kufikia kiwango cha Lionel Messi, ila kwa sasa sio lengo lake. Eden Hazard amekataa kulinganishwa kwa ubora na mshambuliaji hatari wa Argentina Lionel Messi, wachezaji hao waw… Read More
  • Neymar azungumzia kuhusu "Pressure" walionayo.     Neymar amekuwa akigonga vichwa vya habari katika magazeti ya Brazil asubuhi ya leo. Namba 10 huyo wa Brazil akizungumza na waandishi wa habari jana, na alipoulizwa kuhusu 'uzito' alionao mabegani kuto… Read More
  • Wachezaji saba wa Ujerumani waugua mafua.     Wachezaji saba wa Ujerumani wana dalili za ugonjwa wa mafua, saa 24 kabla ya mechi yao ya Kombe la Dunia dhidi ya Ufaransa. Kocha wa Ujerumani Joachim Low amesema wengi wao wana "maumivu ya koo" lakini ha… Read More
  • FIFA yampa ruksa Suarez kufanya mazoezi   FIFA imesema Luis Suarez ataruhusiwa kufanya mazoezi na Liverpool wakati akitumikia adhabu yake ya miezi minne na mechi nane za kimataifa. Wakati huohuo Uruguay imekata rufaa kupinga adhabu hiyo. Suarez ali… Read More
  • Timu ya taifa ya Rugby ya Kenya yajihakikishia kufuzu.     Timu ya taifa ya Rugby ya Kenya imeichapa Madagascar 34-0 katika mchezo wa kufuzu kucheza Kombe la Dunia England 2015. Hata hivyo wanahitaji kushinda mchezo dhidi ya Zimbabwe siku ya Jumapili kujihakikis… Read More

0 comments:

Post a Comment