Facebook

Saturday, 14 March 2015

Unene wamkosesha burudani Uingereza.

Mama mmoja amedai kuwa yeye na marafiki zake wawili walizuiliwa
kuingia katika kilabu moja ya burudani kwa sababu zinazodaiwa kuwa
ni wanene sana na wenye sura mbaya
Stacey Owen 33, alikuwa ametoka na marafiki zake wawili kwa ajili
ya kupata burudani wakati wa usiku siku ya jumamosi alipokataliwa
kuingia katika baa moja jijini Manchester kwa sababu ya unene wake.

Stacey amesema wao walizuiwa huku watu wengine wakiingia katika
baa hiyo maarufu mjini humo,
Klabu ya burudani Uingereza
Mama huyo sasa anataka kuombwa radhi na wamiliki wa Baa hiyo
lakini mpaka sasa amedai hajapata ujumbe wowote kutoka kwao.

Anasema sio kwamba anajiona kwamba yeye ni mrembo sana lakini
kilichomshangaza ni uwepo wa ubaguzi huo miongoni mwa wateja.

Related Posts:

  • Damu ya waliopona Ebola kutibu Wagojnwa wengine. Shirika la afya duniani WHO limesema kuwa damu ya watu ambao wamepona ugonjwa wa Ebola inaweza kutumiwa kuwatibu wagonjwa wengine. Katika mkutano mjini Geneva, wataalam wa shirika hilo walikubaliana kwamba hii itakuwa njia ya… Read More
  • Boko Haram wazuia watu kuzika maiti Wapiganaji wa Boko Haram wamesababisha maafa Kaskazini ya Nigeria ngome yao ya vita Taarifa za kutisha zimeibuka kutoka mjini Bama moja… Read More
  • KESI YA KENYATTA YAPIGWA KALENDAWaendesha mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya ICC iliyopo The Hague wameomba kesi ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kuahirishwa tena. Bwana Kenyatta anashtakiwa kwa makosa dhidi ya ubinaadam, lakini upande wa mashtaka umes… Read More
  • HATIMAYE KIONGOZI WA AL SHABAB AUAWA Aliyekua kiongozi mkuu wa Alshabab Ahmed Abdi Godane ameripotiwa kuuawa!! Habari kutoka katika idara kuu ya ulinzi ya marekani PENTAGONI imesema kua kuuawa kwa kiongozi huyo mwanzilishi wa kikundi ambacho kimekua mwiba mkali… Read More
  • Alshabaab wathibitisha kifo cha kiongozi wao,Godane Kundi la wapiganaji wa kisomali Al-shabaab limethibitisha kuwa kiongozi wake Ahmed Abdi Godane aliuawa siku ya jumatatu katika shambulizi la angani lililotekelezwa na wanajeshi wa Marekani. … Read More

0 comments:

Post a Comment